We ndiye chawa unayetaka kila mtu ampende Lisu bila sababu yoyote.Unadhani kura utapiga wewe tu? Toa uchawa wako hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ndiye chawa unayetaka kila mtu ampende Lisu bila sababu yoyote.Unadhani kura utapiga wewe tu? Toa uchawa wako hapa
Mbona hatukuona haya alipokua mnadhimu mkuu wa KUB pamoja na Rais wa TLS!! Mlisema hivi hivi kwa Mwabukusi mbona hatujaona vurugu yoyote.Lisu hawezi kukubaliana na vyama vyenzake, hawezi kufanya mazungumzo na Serikali, Yeye anaamini kwenye fujo na kulazimisha, kitu ambacho hakitamfikisha popote. Tangu awe Makamu mwenyekiti, CHADEMA imekuwa dhaifu, kwanini tumkubali
Ndio pekee aliyekeep Chadema alive enzi za JPM!! kama sio Lissu kuwa vibrant chadema ingeshapotea!! Na hata sasa ndio mtu pekee msafi chadema asiye na doa la rushwa wala wizi unamuachaje huyu umchukue huyo mzee tapeli. Pia ndio anaipa uhai chadema kwa image ya chadema ya kale iliyokua na Dr Slaa, Wangwe, Zitto na Kaborou!! Bila kuchaguliwa Lissu ndio chama kinaenda kufa hivyo.Lisu kafanya nini kwenye nafasi yake ya Umakamu Mwenyekiti?
Mbowe kajenga Chama mpaka kimekuwa kilivyo, mi nawaambia Lisu akishinda kinakufa. Wanaotaka madaraka na vyeo ndani ya Team Lisu ni wengi kuliko nafasi zilizopo, na wote wapiga kelele kama Lisu mwenyewe. Hapo hakutakuwa na chama, kutakuwa na full mihemko.Ndio pekee aliyekeep Chadema alive enzi za JPM!! kama sio Lissu kuwa vibrant chadema ingeshapotea!! Na hata sasa ndio mtu pekee msafi chadema asiye na doa la rushwa wala wizi unamuachaje huyu umchukue huyo mzee tapeli. Pia ndio anaipa uhai chadema kwa image ya chadema ya kale iliyokua na Dr Slaa, Wangwe, Zitto na Kaborou!! Bila kuchaguliwa Lissu ndio chama kinaenda kufa hivyo.
Tukutane oktoba
Yetu Macho, Kila la kheri Team Lisu.Mbona hatukuona haya alipokua mnadhimu mkuu wa KUB pamoja na Rais wa TLS!! Mlisema hivi hivi kwa Mwabukusi mbona hatujaona vurugu yoyote.
Hahaha kura tutapiga wengi, na Machawa wa lisu Mkishinda chadema inaenda kufa.Unadhani kura utapiga wewe tu? Toa uchawa wako hapa
Miaka 20 anachaguliwa ndio maana Lisu kaona wivu, sasa anataka aachiwe. Mtavuna mabua.Uchu wa madaraka ni mbowe, miaka 20+ kasahau nn😂