Team Magufuli imerudishwa ili kufanikisha ushindi wa 2025 uwe kama wa 2020?

Team Magufuli imerudishwa ili kufanikisha ushindi wa 2025 uwe kama wa 2020?

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Jembe lililoaminiwa na Magufuli kwenye madini,limepewa unaibu Waziri Mkuu,jembe lingine Mnyeti kapewa unaibu Waziri.

Lakini je, watoto wa kambo watalipa fadhila hizo. Je, Bashiru kuchukua form ya urais CCM hata kama itampelekea kufutwa uanachama!?

Je, top three inakubaliana kuhusu yanayoendelea sasa hususahi kuhusu bandari!? Je Kanisa Katoliki la Roma litawafanya nini viongozi wa chama na Serikali walioshiriki kwenye mkataba wa bandari!?

Je, waumini wa Kanisa la Roman Katoliki watakubali kuipigia kura CCM iliyopitisha mkataba wa bandari!?

Je, kuna Chama kipya kinakuna kitakachopewa support na Kanisa Katoliki la Roma!?
 
Jembe lililoaminiwa na Magufuli kwenye madini,limepewa unaibu Waziri Mkuu,jembe lingine Mnyeti kapewa unaibu Waziri.

Lakini je, watoto wa kambo watalipa fadhila hizo. Je, Bashiru kuchukua form ya urais CCM hata kama itampelekea kufutwa uanachama!?

Je, top three inakubaliana kuhusu yanayoendelea sasa hususahi kuhusu bandari!? Je Kanisa Katoliki la Roma litawafanya nini viongozi wa chama na Serikali walioshiriki kwenye mkataba wa bandari!?

Je, waumini wa Kanisa la Roman Katoliki watakubali kuipigia kura CCM iliyopitisha mkataba wa bandari!?

Je, kuna Chama kipya kinakuna kitakachopewa support na Kanisa Katoliki la Roma!?

This time around tutazinyuka bila glove [emoji3037] !! Ccm kwisha Habari yake ! Angalia ya Lushoto implosion !! Wananchi wamechoka kabisa !
 
Jembe lililoaminiwa na Magufuli kwenye madini,limepewa unaibu Waziri Mkuu,jembe lingine Mnyeti kapewa unaibu Waziri.

Lakini je, watoto wa kambo watalipa fadhila hizo. Je, Bashiru kuchukua form ya urais CCM hata kama itampelekea kufutwa uanachama!?

Je, top three inakubaliana kuhusu yanayoendelea sasa hususahi kuhusu bandari!? Je Kanisa Katoliki la Roma litawafanya nini viongozi wa chama na Serikali walioshiriki kwenye mkataba wa bandari!?

Je, waumini wa Kanisa la Roman Katoliki watakubali kuipigia kura CCM iliyopitisha mkataba wa bandari!?

Je, kuna Chama kipya kinakuna kitakachopewa support na Kanisa Katoliki la Roma!?
Hatudanganyiki.
 
Je CCM imefeli?

Sababu za kufeli kwa asilimia zote kwa ccm ni;

01.kushindwa kusimamia rasilimali za nchi
02.kuminya democrasia na tume huru
03.kuongoza nchi kwa kutegemea kutembeza vibakuli
04.kutengeneza viongozi na vijana machawa wa mfumo wa mono part
05.kushindwa kuwa na sera za kuliendeleza taifa
06.ukosefu wa katiba na sheria nzuri za nchi
 
"Naelewa Wazi Waziiri mpya wa Tamisemi mh Mchengerwa ameoa Mtoto wa Rais Samia hilo sina tatizo nalo

Rais hata alete Mkwe, Shemeji na Ndugu wote haitasaidia kwa sababu Watanzania wameamka na watamshangaza kwenye Uchaguzi" Freeman Mbowe
 
Jembe lililoaminiwa na Magufuli kwenye madini,limepewa unaibu Waziri Mkuu,jembe lingine Mnyeti kapewa unaibu Waziri.

Lakini je, watoto wa kambo watalipa fadhila hizo. Je, Bashiru kuchukua form ya urais CCM hata kama itampelekea kufutwa uanachama!?

Je, top three inakubaliana kuhusu yanayoendelea sasa hususahi kuhusu bandari!? Je Kanisa Katoliki la Roma litawafanya nini viongozi wa chama na Serikali walioshiriki kwenye mkataba wa bandari!?

Je, waumini wa Kanisa la Roman Katoliki watakubali kuipigia kura CCM iliyopitisha mkataba wa bandari!?

Je, kuna Chama kipya kinakuna kitakachopewa support na Kanisa Katoliki la Roma!?
Mimi naweza sema matatizo mengi yametokana na Jiwe
 
Back
Top Bottom