Team Magufuli vs Uteuzi wa Makonda

Team Magufuli vs Uteuzi wa Makonda

Comrade Liu Yang

Senior Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
161
Reaction score
282
Tangu aondoke JPM duniani hakuna team JPM ilikua na amani lakini nawahakikishia kila Team JPM leo moyo wake utalala na amani kubwa sana.

Uteuzi wa Makonda Umeibua vigelegele na shangwe sio za kawaida mioyoni mwa Team JPM.

Hakika Mama amejua kugusa Mioyo ya Watu, Kwa Shangwe hili sipati tabu kujua Mgombea Urais 2030 na ushindi ni ule ule.

CCM ina reserve nyingi sana ikiamua tu inachomoa inapachika inakoki SHABAAAA...
 
Tangu aondoke JPM duniani hakuna team JPM ilikua na amani lakini nawahakikishia kila Team JPM leo moyo wake utalala na amani kubwa sana.

Uteuzi wa Makonda Umeibua vigelegele na shangwe sio za kawaida mioyoni mwa Team JPM.

Hakika Mama amejua kugusa Mioyo ya Watu, Kwa Shangwe hili sipati tabu kujua Mgombea Urais 2030 na ushindi ni ule ule.

CCM ina reserve nyingi sana ikiamua tu inachomoa inapachika inakoki SHABAAAA...
Takataka
 
Tangu aondoke JPM duniani hakuna team JPM ilikua na amani lakini nawahakikishia kila Team JPM leo moyo wake utalala na amani kubwa sana.

Uteuzi wa Makonda Umeibua vigelegele na shangwe sio za kawaida mioyoni mwa Team JPM.

Hakika Mama amejua kugusa Mioyo ya Watu, Kwa Shangwe hili sipati tabu kujua Mgombea Urais 2030 na ushindi ni ule ule.

CCM ina reserve nyingi sana ikiamua tu inachomoa inapachika inakoki SHABAAAA...
Rudi na ID yako ya kawaida Uone.
Huwa hutoboi na mada zako bila ya kutaja jina la Hayat Rais?

Hii ndi nini?
 
Tangu aondoke JPM duniani hakuna team JPM ilikua na amani lakini nawahakikishia kila Team JPM leo moyo wake utalala na amani kubwa sana.

Uteuzi wa Makonda Umeibua vigelegele na shangwe sio za kawaida mioyoni mwa Team JPM.

Hakika Mama amejua kugusa Mioyo ya Watu, Kwa Shangwe hili sipati tabu kujua Mgombea Urais 2030 na ushindi ni ule ule.

CCM ina reserve nyingi sana ikiamua tu inachomoa inapachika inakoki SHABAAAA...
Tujadili Mkataba.
Haya mauteuzi yasitutoe relini
 
Tangu aondoke JPM duniani hakuna team JPM ilikua na amani lakini nawahakikishia kila Team JPM leo moyo wake utalala na amani kubwa sana.

Uteuzi wa Makonda Umeibua vigelegele na shangwe sio za kawaida mioyoni mwa Team JPM.

Hakika Mama amejua kugusa Mioyo ya Watu, Kwa Shangwe hili sipati tabu kujua Mgombea Urais 2030 na ushindi ni ule ule.

CCM ina reserve nyingi sana ikiamua tu inachomoa inapachika inakoki SHABAAAA...
ukichinjwa unatoka damu ya kijani.. buku 7 wa lumumba
 
Back
Top Bottom