Team Mange yasambaratika

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Katika vitu ambavyo Mange Kimambi anavijutia ni suala la kumdhalilisha Hamisa na mama yake.

Tangu awadhalilishe Hamisa na mamaye, wafuasi wa Mange taratibu wameanza kum unfollow Mange Kimambi sambamba na kumdis kila kukicha.

Miongoni mwa wafuasi wakubwa wa Mange ni pamoja na mwanadada Carymastory, tangu Mange amdhalilishe Hamisa, mapenzi ya Cary kwa Mange yameporomoka kwa kiasi kikubwa sana na ametokea kumchukia mnooo.

Mange kawa mnyonge sana na amepoteza ile tension aliyopewa na watu, kila kukicha amekuwa ni mtu wa kum DM Hamisa amsamehe ili ile udada wao urudi kama zamani.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana kama ulishakuwa mhanga wa Mange, Binafsi nilishamzarau sana baada ya kupost taarifa ya uongo ambayo na mimi nilikua sehemu ya tukio na kuweka maneno ya kichochezi na ya uongo kinyume na uhalisia, ni Mdada wa kuokoteza vitaarifa vya hapa na pale na kujazia uongo
 
Sijawahi kumkubali Mange

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jinsi inavyooneka kwasababu ni asilimia kubwa juu ya maswala na mpangilio wa shughuli inayohusika kwenye kila kitu ndani ya utaratibu na kawaida ilivyowekwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…