Team Marafiki! Nimewakumbuka wadau muhimu MMU.

Team Marafiki! Nimewakumbuka wadau muhimu MMU.

Nakusalimu sana mkuu, na team nzima ya marafiki
Salamu zangu za pili ziwafikie Karucee, Ablessed ,snowhite ,@FP, Heaven on Earth Heaven Sent BAK popote walipo
Salamu za tatu ziwafikie kila atayesoma hapa.

Nakushukuru sana Mwana -SALAMU TAMTAM 🙂

Tized,
Kwa hisani ya awamu ya Tano.

Ilikuwa ni combination ya watu wachache, hapa jukwaani!! Waliokuwa na nguvu kubwa ya Ushauri.
Mkuu Tized
Mkuu Mr Rocky
Mkuu OLESAIDIMU
Mkuu Ntuzu
Mkuu Mndengereko n.k
Mko wapi Team Marafiki?
 
Back
Top Bottom