Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann
Asubiri mpaka kudhalilishwa kama hivi! akiingia tena mbowe wengi tutakimbia chama hilo akae akijua tutamwachia chama yeye na wajumbe wake tuone watafika wapo!?!? akiwa mshauri tu tutampenda mpaka kufa kwake ila wasasa anataka kuharibu legacy yake!?
Ndio umuite mwenzako jina hilo mbele ya kadamnasi??..Niende wapi mkuu tatizo hampendi Kuambiwa ukweli kazi kufanya vidole tu
💐💐when trust is broken, sorry means nothing 🤐🤐🤐
Bahati mbaya washauri wake akina Ntobi, Bony Yai, nk hawamwambii ukweli wa mambo ulivyoAsubiri mpaka kudhalilishwa kama hivi! akiingia tena mbowe wengi tutakimbia chama hilo akae akijua tutamwachia chama yeye na wajumbe wake tuone watafika wapo!?!? akiwa mshauri tu tutampenda mpaka kufa kwake ila wasasa anataka kuharibu legacy yake!?
Wajumbe ndio waamuzi sisi wengine ni wapiga kelele tu,Mbowe mitano tenaAsubiri mpaka kudhalilishwa kama hivi! akiingia tena mbowe wengi tutakimbia chama hilo akae akijua tutamwachia chama yeye na wajumbe wake tuone watafika wapo!?!? akiwa mshauri tu tutampenda mpaka kufa kwake ila wasasa anataka kuharibu legacy yake!?
Yani Mbowe akae Kitako kuskiliza huyu alafu ndio aachie, dah , SAMIa agize maharagwe ya lishe, naona mna utapiamlo.Kwa hali hii kweli Mbowe ni bora aachie tu aondoke kwa heshima ambayo kaijenga miaka mingi
View attachment 3196801
Wakati huo Lissu yupo zake UbelgijiMjinga anasema busara basi kwahiyo mnataka vita mtaviwezaa? Huyo kiongozi anataka mpigwe marisasi mvunjwevunjwe alafu mbaki hamna lolote bali mzigo
Naivyo anamanzi wakizungu siwakiamini huyuWakati huo Lissu yupo zake Ubelgiji