Team Mbowe na wana CHADEMA sikilizeni ujumbe huu

Team Mbowe na wana CHADEMA sikilizeni ujumbe huu

Asubiri mpaka kudhalilishwa kama hivi! akiingia tena mbowe wengi tutakimbia chama hilo akae akijua tutamwachia chama yeye na wajumbe wake tuone watafika wapo!?!? akiwa mshauri tu tutampenda mpaka kufa kwake ila wasasa anataka kuharibu legacy yake!?
Hama hata sasa hatuhitaji manafiki.
Au kama nawe ni mwehu kama lisu hatukuhitaji.
Mwenzenu ananyea ndoo tangu jana na dhamana imefungwa chezea serikali ya Mama na mbowe
 
Hawezi kamwe hujamsikia leo anajifananisha na mwanzilishi wa Kentucky fried chicken (KFC) Eti alianzisha akiwa na umri Kama wake
Mkaanzishe na chenu,mmeshindwa nini mnangangania vya watu wehu ninyi amewapiga za uso na mkiendelea tutawakamata wote kwa uchochezi
 
Back
Top Bottom