Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
100% truewhen trust is broken, sorry means nothing 🤐🤐🤐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100% truewhen trust is broken, sorry means nothing 🤐🤐🤐
😃😃Mbowe ana busara za kulamba asali tuu
We achana na mumeo kwanza ndo mbowe aachan na cdmKwa hali hii kweli Mbowe ni bora aachie tu aondoke kwa heshima ambayo kaijenga miaka mingi
View attachment 3196801
Hama hata sasa hatuhitaji manafiki.Asubiri mpaka kudhalilishwa kama hivi! akiingia tena mbowe wengi tutakimbia chama hilo akae akijua tutamwachia chama yeye na wajumbe wake tuone watafika wapo!?!? akiwa mshauri tu tutampenda mpaka kufa kwake ila wasasa anataka kuharibu legacy yake!?
Mkaanzishe na chenu,mmeshindwa nini mnangangania vya watu wehu ninyi amewapiga za uso na mkiendelea tutawakamata wote kwa uchocheziHawezi kamwe hujamsikia leo anajifananisha na mwanzilishi wa Kentucky fried chicken (KFC) Eti alianzisha akiwa na umri Kama wake
Hataki Heshima anataka PesaBado nafikiri sana. Mbowe apumnzike. Heshima tutampa forever. Akishupaza shingo anapasuka huu mwaka.