mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
,Let's life continue Diamond asituzalilishe wanaume kama yule jamaa wa Mawinguni
Ndio kakua nao hao,mtu hawezi acha asili yake,hao wanuka mikojo ndio wamemkuza domo huko tandale,pia hawa wanuka mikojo wa tandale and co ni wazuri sana kunako sita kwa sita,kama hujawajaribu nenda kajaribu ulete mrejesho hapa,ni gusa unateMadale ni guest house ahah,,alidhania kumzalia mwanaume haraka haraka ndio kupendwa au kuolewa[emoji23]
Anaowaita vinuka mkojo ndio daimond anawapenda
naona kasahau hii. Ila Zari hawezi achana na Mondi kisa kazaa na mobeto. Mbona yeye alikutwa na watoto shazi
hana kurogwa..ushamba unamsumbua.. kwanza unaingizaje kila demu chumbani/nyumbani kwako na una watoto??? mxiuuuuu!!!Yan diamond saiv kama hizi habari za kuchovya chovya ni kweli Itakua karogwa huko chini.
akin mapema leo taarifa ya uwepo wa Zari imekanushwa na yeye mwenyewe Zarithebosslady kupitia ukurasa wake wa instagram
MAANA YA PERSONAL COMMITMENT UNAJUA! WASWAHILI KWA UMBEA.KWAHIYO AACHE BIASHARA ZAKE ILI TU KUSEMA WASWAHILI HAWATANIELEWANakumbuka kwenye Interview aliyofanya Diamond Platnumz kupitia Leo tena ya Clouds Fm.. alisema kuwa endapo Zari atagoma kumuelewa na kumsamehe yupo tayr kutembea kwa magoti kutoka Hapa mpka South Africa.
Kwa sasa Hali ya Mapenzi kati ya diamond na aliyekuwa mpenz wake, mzazi mwenzie Zarina Hassan Sio shwari.. Baada ya Zari kuamua kufuta picha zote za diamond katika ukurasa wake wa Instagram na kubadilisha majina katika account za watoto wake aliozaa na Diamond platnumz..View attachment 602257View attachment 602259
Licha ya hivyo, hata siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa mzazi mwenzio Diamond Platnumz Tar 2/10, Hakuweza hata kupost chochote wala kumtakia heri katika siku hiyo..
Pia Diamond anashow Uganda, na Tangazo la awali lilikuwa linaonesha kesho tar 5/10, Diamond pamoja na mpenz wake zari watakuwa pamoja huko nchini uganda na kufanya press conference.. Lakin mapema leo taarifa ya uwepo wa Zari imekanushwa na yeye mwenyewe Zarithebosslady kupitia ukurasa wake wa instagram, baada ya kucomment kwenye page ya waandaji wa show hiyo.View attachment 602243
huu ni muda mzuri wa Diamond Platnumz na Team yake nzima kuanza safari ya kuelekea South Africa kwa mzazi mwenzie Zari kama Alivyoahidi katika Interview ile..
Ndio kakua nao hao,mtu hawezi acha asili yake,hao wanuka mikojo ndio wamemkuza domo huko tandale,pia hawa wanuka mikojo wa tandale and co ni wazuri sana kunako sita kwa sita,kama hujawajaribu nenda kajaribu ulete mrejesho hapa,ni gusa unate
Aliwaita vinuka mkojo ndo huyo huyo nasibu hao hao ndo anawafuata ...Madale ni guest house ahah,,alidhania kumzalia mwanaume haraka haraka ndio kupendwa au kuolewa[emoji23]
Anaowaita vinuka mkojo ndio daimond anawapenda
Sioo uswahili tu na ushamba anao sana huyo dogo,ila nina uhakika he will be a looser.Mim sio shabiki wa muziki wa bongo na wala simshabikii msanii yeyote hapa bongo labda kidogo Vanessa Mdee. Lakini naona huyu Mr. Diamond tatizo lake bado hajaachana na mambo ya kiswahili, aache kuhangaika na hawa bitches wasiojitambua maana wana njaa kali sana tu ndo zinawasumbua na hawana msaada wowote kwake in the longterm zaidi ya kupanuliwa mapaja na sijui kama ameshafikiri kwamba how can these bitches support to push his music career further. If I'm not mistaken maybe ndo kama wanavyosema mama yake na sister ake ndo wanainfluence mahusiano? If so, basi wamekutana wote with same brain. Mimi labda Nimshauri bwama Diamond Platinum abadilike awe Mwanaume sasa na sio mtoto wa kiume. otherwise, if he persists in his folly there must be a very serious problem somewhere in his family. Anabugi sana kumdistract mtoto mzuri ZariTheBossLady.
Mim sio shabiki wa muziki wa bongo na wala simshabikii msanii yeyote hapa bongo labda kidogo Vanessa Mdee. Lakini naona huyu Mr. Diamond tatizo lake bado hajaachana na mambo ya kiswahili, aache kuhangaika na hawa bitches wasiojitambua maana wana njaa kali sana tu ndo zinawasumbua na hawana msaada wowote kwake in the longterm zaidi ya kupanuliwa mapaja na sijui kama ameshafikiri kwamba how can these bitches support to push his music career further. If I'm not mistaken maybe ndo kama wanavyosema mama yake na sister ake ndo wanainfluence mahusiano? If so, basi wamekutana wote with same brain. Mimi labda Nimshauri bwama Diamond Platinum abadilike awe Mwanaume sasa na sio mtoto wa kiume. otherwise, if he persists in his folly there must be a very serious problem somewhere in his family. Anabugi sana kumdistract mtoto mzuri ZariTheBossLady.
Snapchat alishasema kwamba madale haendi hata magoti[emoji23] [emoji23] [emoji23]Madale ni guest house ahah,,alidhania kumzalia mwanaume haraka haraka ndio kupendwa au kuolewa[emoji23]
Anaowaita vinuka mkojo ndio daimond anawapenda
Furaha yako kuona watu wakiachanaNimewapenda bure zarina na zamaradi
Furaha ndio kila kitu
Mmmh tutaona,,tumpe wiki mbili tuoneSnapchat alishasema kwamba madale haendi hata magoti[emoji23] [emoji23] [emoji23]
MhTumeshamchoka huyo aende zake tu.
Kwa taarifa za kunyapia nyapia Diamond anamuwinda Tonto Dikeh ale kitumbua chake.
KWELI JAMAAA NAYE NMEONA ANAPENDA WANAWAKE WEPESI MNOOO BITCHES ...Mim sio shabiki wa muziki wa bongo na wala simshabikii msanii yeyote hapa bongo labda kidogo Vanessa Mdee. Lakini naona huyu Mr. Diamond tatizo lake bado hajaachana na mambo ya kiswahili, aache kuhangaika na hawa bitches wasiojitambua maana wana njaa kali sana tu ndo zinawasumbua na hawana msaada wowote kwake in the longterm zaidi ya kupanuliwa mapaja na sijui kama ameshafikiri kwamba how can these bitches support to push his music career further. If I'm not mistaken maybe ndo kama wanavyosema mama yake na sister ake ndo wanainfluence mahusiano? If so, basi wamekutana wote with same brain. Mimi labda Nimshauri bwama Diamond Platinum abadilike awe Mwanaume sasa na sio mtoto wa kiume. otherwise, if he persists in his folly there must be a very serious problem somewhere in his family. Anabugi sana kumdistract mtoto mzuri ZariTheBossLady.
zari supaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa domo asepe tuTumeshamchoka huyo aende zake tu.
Kwa taarifa za kunyapia nyapia Diamond anamuwinda Tonto Dikeh ale kitumbua chake.