Team Mond Huu ni muda wa kujiandaa na safar ya S.A

Team Mond Huu ni muda wa kujiandaa na safar ya S.A

Madale ni guest house ahah,,alidhania kumzalia mwanaume haraka haraka ndio kupendwa au kuolewa[emoji23]
Anaowaita vinuka mkojo ndio daimond anawapenda
Ndio kakua nao hao,mtu hawezi acha asili yake,hao wanuka mikojo ndio wamemkuza domo huko tandale,pia hawa wanuka mikojo wa tandale and co ni wazuri sana kunako sita kwa sita,kama hujawajaribu nenda kajaribu ulete mrejesho hapa,ni gusa unate
 
5524b9632b04e5f312db9e4f545d2eff.jpg
naona kasahau hii. Ila Zari hawezi achana na Mondi kisa kazaa na mobeto. Mbona yeye alikutwa na watoto shazi


kwani kukutwa na watoto ni sawa na kucheat na kuzaa na mwanamke/mwanaume mwingine??
 
Yan diamond saiv kama hizi habari za kuchovya chovya ni kweli Itakua karogwa huko chini.
hana kurogwa..ushamba unamsumbua.. kwanza unaingizaje kila demu chumbani/nyumbani kwako na una watoto??? mxiuuuuu!!!
 
akin mapema leo taarifa ya uwepo wa Zari imekanushwa na yeye mwenyewe Zarithebosslady kupitia ukurasa wake wa instagram

Jifunzeni kutofautisha kati ya Twitter na Instagram.. yaani alitweet hayo na wadau wakairusha Instagram.
 
Nakumbuka kwenye Interview aliyofanya Diamond Platnumz kupitia Leo tena ya Clouds Fm.. alisema kuwa endapo Zari atagoma kumuelewa na kumsamehe yupo tayr kutembea kwa magoti kutoka Hapa mpka South Africa.

Kwa sasa Hali ya Mapenzi kati ya diamond na aliyekuwa mpenz wake, mzazi mwenzie Zarina Hassan Sio shwari.. Baada ya Zari kuamua kufuta picha zote za diamond katika ukurasa wake wa Instagram na kubadilisha majina katika account za watoto wake aliozaa na Diamond platnumz..View attachment 602257View attachment 602259

Licha ya hivyo, hata siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa mzazi mwenzio Diamond Platnumz Tar 2/10, Hakuweza hata kupost chochote wala kumtakia heri katika siku hiyo..

Pia Diamond anashow Uganda, na Tangazo la awali lilikuwa linaonesha kesho tar 5/10, Diamond pamoja na mpenz wake zari watakuwa pamoja huko nchini uganda na kufanya press conference.. Lakin mapema leo taarifa ya uwepo wa Zari imekanushwa na yeye mwenyewe Zarithebosslady kupitia ukurasa wake wa instagram, baada ya kucomment kwenye page ya waandaji wa show hiyo.View attachment 602243

huu ni muda mzuri wa Diamond Platnumz na Team yake nzima kuanza safari ya kuelekea South Africa kwa mzazi mwenzie Zari kama Alivyoahidi katika Interview ile..
MAANA YA PERSONAL COMMITMENT UNAJUA! WASWAHILI KWA UMBEA.KWAHIYO AACHE BIASHARA ZAKE ILI TU KUSEMA WASWAHILI HAWATANIELEWA
 
Ndio kakua nao hao,mtu hawezi acha asili yake,hao wanuka mikojo ndio wamemkuza domo huko tandale,pia hawa wanuka mikojo wa tandale and co ni wazuri sana kunako sita kwa sita,kama hujawajaribu nenda kajaribu ulete mrejesho hapa,ni gusa unate

kama aliliona hilo alimtongozea nini zari... akaenda nae kavukavu na matokeo watoto... fanya upumbavu kama huna watoto... kama hakunata kwa zari kwanini kachochovya sasa amechonga mizinga miwili!!!
 
Wapo huku waungane kwa pamoja kutembea kwa magoti hadi south africa kuomba msamaha.
 
Madale ni guest house ahah,,alidhania kumzalia mwanaume haraka haraka ndio kupendwa au kuolewa[emoji23]
Anaowaita vinuka mkojo ndio daimond anawapenda
Aliwaita vinuka mkojo ndo huyo huyo nasibu hao hao ndo anawafuata ...
mwanamke ni upstairs, kama kichwani hamna kitu basi tena ...unashindana na zari wapi na wapi bwana ...nyie mnapost mko vitandani na baba wa watoto wake yeye anapost gari ya bentley ya dola za kimarekani laki moja na themanini..mnakazania kupewa laki 5 kwa wiki ya matunzo ya mtoto
 
Mim sio shabiki wa muziki wa bongo na wala simshabikii msanii yeyote hapa bongo labda kidogo Vanessa Mdee. Lakini naona huyu Mr. Diamond tatizo lake bado hajaachana na mambo ya kiswahili, aache kuhangaika na hawa bitches wasiojitambua maana wana njaa kali sana tu ndo zinawasumbua na hawana msaada wowote kwake in the longterm zaidi ya kupanuliwa mapaja na sijui kama ameshafikiri kwamba how can these bitches support to push his music career further. If I'm not mistaken maybe ndo kama wanavyosema mama yake na sister ake ndo wanainfluence mahusiano? If so, basi wamekutana wote with same brain. Mimi labda Nimshauri bwama Diamond Platinum abadilike awe Mwanaume sasa na sio mtoto wa kiume. otherwise, if he persists in his folly there must be a very serious problem somewhere in his family. Anabugi sana kumdistract mtoto mzuri ZariTheBossLady.
Sioo uswahili tu na ushamba anao sana huyo dogo,ila nina uhakika he will be a looser.
 
Mim sio shabiki wa muziki wa bongo na wala simshabikii msanii yeyote hapa bongo labda kidogo Vanessa Mdee. Lakini naona huyu Mr. Diamond tatizo lake bado hajaachana na mambo ya kiswahili, aache kuhangaika na hawa bitches wasiojitambua maana wana njaa kali sana tu ndo zinawasumbua na hawana msaada wowote kwake in the longterm zaidi ya kupanuliwa mapaja na sijui kama ameshafikiri kwamba how can these bitches support to push his music career further. If I'm not mistaken maybe ndo kama wanavyosema mama yake na sister ake ndo wanainfluence mahusiano? If so, basi wamekutana wote with same brain. Mimi labda Nimshauri bwama Diamond Platinum abadilike awe Mwanaume sasa na sio mtoto wa kiume. otherwise, if he persists in his folly there must be a very serious problem somewhere in his family. Anabugi sana kumdistract mtoto mzuri ZariTheBossLady.

Wewe ndo unajifanya mjuaji bitches utakuwa ni wewe maana malaya lazima aliwe na malaya mwenzake
 
Madale ni guest house ahah,,alidhania kumzalia mwanaume haraka haraka ndio kupendwa au kuolewa[emoji23]
Anaowaita vinuka mkojo ndio daimond anawapenda
Snapchat alishasema kwamba madale haendi hata magoti[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mim sio shabiki wa muziki wa bongo na wala simshabikii msanii yeyote hapa bongo labda kidogo Vanessa Mdee. Lakini naona huyu Mr. Diamond tatizo lake bado hajaachana na mambo ya kiswahili, aache kuhangaika na hawa bitches wasiojitambua maana wana njaa kali sana tu ndo zinawasumbua na hawana msaada wowote kwake in the longterm zaidi ya kupanuliwa mapaja na sijui kama ameshafikiri kwamba how can these bitches support to push his music career further. If I'm not mistaken maybe ndo kama wanavyosema mama yake na sister ake ndo wanainfluence mahusiano? If so, basi wamekutana wote with same brain. Mimi labda Nimshauri bwama Diamond Platinum abadilike awe Mwanaume sasa na sio mtoto wa kiume. otherwise, if he persists in his folly there must be a very serious problem somewhere in his family. Anabugi sana kumdistract mtoto mzuri ZariTheBossLady.
KWELI JAMAAA NAYE NMEONA ANAPENDA WANAWAKE WEPESI MNOOO BITCHES ...

MWANAMKE ANAJIELEWA KAMA ZAR ALAFU KANARUKA RUKA KANGESE SANA.
 
Back
Top Bottom