Team Wananchi vs Team Mwenyekiti

Team Wananchi vs Team Mwenyekiti

don-mike

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
600
Reaction score
1,178
Baada ya Heche kuongea duru zinaonyesha hawa watu walijiandaa muda mrefu kimya kimya bila Team Mwenyekiti kung'amua. Sasa imepelekea Mwenyekiti na Team yake wapagawe.

Mwenyekiti amepagawa hana tena utulivu. Waandamizi wa Team yake jamii iliyokuwa inawapa nguvu imewakacha, wameamua kaa kimya, Sugu yupo Kimya baada ya wana-Mbeya kumjia juu huko insta na twitter, Boniyai aliyeanza provocation siku Lissu anatia nia amekuwa kimya ghafla, Yericko ameenda jidhalilisha kwenye mdahalo, the list is long.

Kete pekee iliyobaki kwa team Mwenyekiti ni 250mil anazosema atatoa kwa maandalizi ya mkutano mkuu. Sijui atatumia njia gani ila wajumbe wa Chadema ni watu wanaojielewa, wanaweza kula ela yake then kura akala Lissu.

All in all, endapo Mwenyekiti akishindwa, basi tegemea mpambano mkubwa sana kufuata baada ya uchaguzi. There will never be a smooth transition.
 
IMG-20250107-WA0000.jpg

Yana ukweli haya timu Mwenyekiti?
 
Baada ya Heche kuongea duru zinaonyesha hawa watu walijiandaa muda mrefu kimya kimya bila Team Mwenyekiti kung'amua. Sasa imepelekea Mwenyekiti na Team yake wapagawe.

Mwenyekiti amepagawa hana tena utulivu. Waandamizi wa Team yake jamii iliyokuwa inawapa nguvu imewakacha, wameamua kaa kimya, Sugu yupo Kimya baada ya wana-Mbeya kumjia juu huko insta na twitter, Boniyai aliyeanza provocation siku Lissu anatia nia amekuwa kimya ghafla, Yericko ameenda jidhalilisha kwenye mdahalo, the list is long.

Kete pekee iliyobaki kwa team Mwenyekiti ni 250mil anazosema atatoa kwa maandalizi ya mkutano mkuu. Sijui atatumia njia gani ila wajumbe wa Chadema ni watu wanaojielewa, wanaweza kula ela yake then kura akala Lissu.

All in all, endapo Mwenyekiti akishindwa, basi tegemea mpambano mkubwa sana kufuata baada ya uchaguzi. There will never be a smooth transition.
Wamachame safari hii mumeyatimba
 
Jambo linalonifurahisha ni kwamba kila aliyefukuzwa chadema kwa kuitwa msaliti baada ya kuonyesha nia ya kugombea uenyekiti aliitwa msaliti na hawa hawa akina halima mdee, na lissu ambao nao wameonja joto lile lile walilowapitisha wenzao.
Kila kilio kina tune yake mkuu.

Kutesa kwa zamu ndo huku sasa
 
Siasa za Nchi hii ni ngumu sana. Akili yangu inaniambiwa wanasiasa wote akili yao iko kwenye kuchumia matumbo yao tu na sivinginevyo
 
Popoma ana hoja nzito sana safari hii.
Apewe jukwaa ateme nyongo maana kumbe madalali wanatuzungusha ngumi hewani ili wazungushe matonge tumboni
Kuwa na adabu dogo
 
Baada ya Heche kuongea duru zinaonyesha hawa watu walijiandaa muda mrefu kimya kimya bila Team Mwenyekiti kung'amua. Sasa imepelekea Mwenyekiti na Team yake wapagawe.

Mwenyekiti amepagawa hana tena utulivu. Waandamizi wa Team yake jamii iliyokuwa inawapa nguvu imewakacha, wameamua kaa kimya, Sugu yupo Kimya baada ya wana-Mbeya kumjia juu huko insta na twitter, Boniyai aliyeanza provocation siku Lissu anatia nia amekuwa kimya ghafla, Yericko ameenda jidhalilisha kwenye mdahalo, the list is long.

Kete pekee iliyobaki kwa team Mwenyekiti ni 250mil anazosema atatoa kwa maandalizi ya mkutano mkuu. Sijui atatumia njia gani ila wajumbe wa Chadema ni watu wanaojielewa, wanaweza kula ela yake then kura akala Lissu.

All in all, endapo Mwenyekiti akishindwa, basi tegemea mpambano mkubwa sana kufuata baada ya uchaguzi. There will never be a smooth transition.
Wananchi wote bila kujali vyama vyao wanaungana na Lissu
 
Baada ya Heche kuongea duru zinaonyesha hawa watu walijiandaa muda mrefu kimya kimya bila Team Mwenyekiti kung'amua. Sasa imepelekea Mwenyekiti na Team yake wapagawe.

Mwenyekiti amepagawa hana tena utulivu. Waandamizi wa Team yake jamii iliyokuwa inawapa nguvu imewakacha, wameamua kaa kimya, Sugu yupo Kimya baada ya wana-Mbeya kumjia juu huko insta na twitter, Boniyai aliyeanza provocation siku Lissu anatia nia amekuwa kimya ghafla, Yericko ameenda jidhalilisha kwenye mdahalo, the list is long.

Kete pekee iliyobaki kwa team Mwenyekiti ni 250mil anazosema atatoa kwa maandalizi ya mkutano mkuu. Sijui atatumia njia gani ila wajumbe wa Chadema ni watu wanaojielewa, wanaweza kula ela yake then kura akala Lissu.

All in all, endapo Mwenyekiti akishindwa, basi tegemea mpambano mkubwa sana kufuata baada ya uchaguzi. There will never be a smooth transition.
HAY NMI MAONI YAKO KWANI UKO NDANI YA MIOYO YA WAJUMBE?KWANZA ALIYEKUAMBIA WAJUMBE WANAMTAKA LISSU NANI?SEMA UNAMPIGIA DEBE LISSU HUJUI KUWA HIKI CHAMA NI CHETU WACHAGA MNYATURU ANATOKEA WAPI TENA YAANI BORA KIFE KULIKO KUENDELEA MIKONONI MWA LISSU
 
Hakuna timu pale, yaani yule mwamba atapata idadi ya kura hadi clubhouse wote washangae.
 
Baada ya Heche kuongea duru zinaonyesha hawa watu walijiandaa muda mrefu kimya kimya bila Team Mwenyekiti kung'amua. Sasa imepelekea Mwenyekiti na Team yake wapagawe.

Mwenyekiti amepagawa hana tena utulivu. Waandamizi wa Team yake jamii iliyokuwa inawapa nguvu imewakacha, wameamua kaa kimya, Sugu yupo Kimya baada ya wana-Mbeya kumjia juu huko insta na twitter, Boniyai aliyeanza provocation siku Lissu anatia nia amekuwa kimya ghafla, Yericko ameenda jidhalilisha kwenye mdahalo, the list is long.

Kete pekee iliyobaki kwa team Mwenyekiti ni 250mil anazosema atatoa kwa maandalizi ya mkutano mkuu. Sijui atatumia njia gani ila wajumbe wa Chadema ni watu wanaojielewa, wanaweza kula ela yake then kura akala Lissu.

All in all, endapo Mwenyekiti akishindwa, basi tegemea mpambano mkubwa sana kufuata baada ya uchaguzi. There will never be a smooth transition.
Utapiga kura?
 
Back
Top Bottom