EGF
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 387
- 986
Utakua Gwambina Fc 🙂Me nilikuwaga the blues ila sasa Hivi hata sijui nipo wapi
Pulisic CFC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakua Gwambina Fc 🙂Me nilikuwaga the blues ila sasa Hivi hata sijui nipo wapi
Pulisic CFC
Mchawi Mourinho.kama shabiki kindaki ndaki siridhishwi kabisa na matokeo ya mechi 2 za Man U zilizopita..
Team inaonekana kucheza ,wachezaji wanajituma kweli kweli lkn nahs kuna sehem katika upangaji team kocha anakosea sana..
Team ina dominate mpira lakini kufunga hakuna,Hakuna striker force ,tunategemea winga Daniel James ,viungo wanaenda mbele hawarudi kukaba.
Usajili wa mwaka huu umekosa striker anaesimama, sina mashaka na Bissaka ,Daniel James na Maguire, ila wachezaji waliokutwa na akina Bissaka sioni wakijituma Rashford amekua nyoka wa kabisa,ana meno lakini hang'ati.
Club ubingwa ulaya hatupo au tumeshajipanga kila mwaka kucheza Europa ...nani ameturoga ...?
Yaani Ngomani FC.Utakua Gwambina Fc 🙂
Liverpool,naishabikia inapocheza na Man City tu .Team si kabila
Karibu liverpool
Sijui hata ,kule Inter linatupia tu halafu tayari amepunguza uzito ,sijui Man U ulikwama wapi ?laana ya lukaku, hivyo yule aliwakosea nini?
Sasa hutujuui mganga wa kuyapandisha yuko wapi ?Wanajiita mashetani wekundu, nadhani yamewapanda ila yakitulia wataanza kushinda.
Team work kama vile ipo ...sasa sijui shida ni mfumo au mzee fegie zile jojo zake wachezaji wanazikanyaga uwanjani.Hapana ni usajili tu wa wachezaji wazuri na team work
Mimi si Manchester united
Yani yananiathir kote kote ....Dah..kumbe matatzo ya Yanga yangu hata man u wanayo?
Bus hiyo milima ni mikali sana ..."jua maisha ni mlima eeh!! Maisha ni mlima
Kuna kupanda na kushuka eeh!! Kupanda na kushuka
Bali kuteleza sio kuanguka eeh!! Mtoto wa mama"
Nahisi Manchester haitelezi inaporomoka, toka milima ya uporoto.[emoji23][emoji1787][emoji1787]
Man city hata bure siwezi kuwashabikia aiseee....EPL inafanya vzr ,UEFA bure...Hamia Manchester city Mkuu
Man U mnatakiwa kuingia sokoni, eti Young anacheza namba tatu, maajabuTeam work kama vile ipo ...sasa sijui shida ni mfumo au mzee fegie zile jojo zake wachezaji wanazikanyaga uwanjani.
Avumiliwe kocha mmoja anayeaminika kwa muda mrefu full stop.Mambo ya kubadilibadili makocha ni kuwachanganya wachezaji mara mshambuliaji mara mpaki buskama shabiki kindaki ndaki siridhishwi kabisa na matokeo ya mechi 2 za Man U zilizopita..
Team inaonekana kucheza ,wachezaji wanajituma kweli kweli lkn nahs kuna sehem katika upangaji team kocha anakosea sana..
Team ina dominate mpira lakini kufunga hakuna,Hakuna striker force ,tunategemea winga Daniel James ,viungo wanaenda mbele hawarudi kukaba.
Usajili wa mwaka huu umekosa striker anaesimama, sina mashaka na Bissaka ,Daniel James na Maguire, ila wachezaji waliokutwa na akina Bissaka sioni wakijituma Rashford amekua nyoka wa kabisa,ana meno lakini hang'ati.
Club ubingwa ulaya hatupo au tumeshajipanga kila mwaka kucheza Europa ...nani ameturoga ...?
Na hii ndo dawa lakini uvumlv wa team kutofanya unaumiza pale ambapo kocha hajasajili mtu mhimu ,hakuna striker wa maana, unauza striker ambaye anasimama unaacha ndondocha kama RashfordAvumiliwe kocha mmoja anayeaminika kwa muda mrefu full stop.Mambo ya kubadilibadili makocha ni kuwachanganya wachezaji mara mshambuliaji mara mpaki bus
Bado unatuombea mabaya aiseee .Wachezaji wa man u hawana moyo wa upambanaj mech inayofuata baada ya kupisha kalenda ya FIFA sare nyngne inawahusu