Teamo, Chrispin na Kaizer NDANI YA TBC1

Teamo, Chrispin na Kaizer NDANI YA TBC1

wakuu hivi hapa nini kinaendelea?
bigirita hebu nipe samari ya mjadala ulioko mezan
 
Hawa ndio walileta mkosi... :redfaces:... (badala ya kuchambua soka, wao walienda kuwachambua akina Eliza)
ha ha ha ha!
wewe kili-laini unawapotosha waumini
 
Nimeshajibiwa kwamba nyie ni MUTU YA LOJISTIKS...:A S 109:
HEHEHE!ndo mpango mzima kaka/baba askofu!
rrrrrrrrraaaaaaaaaaaaaah!rrraaaaaaaaaah!
 
HEHEHE!ndo mpango mzima kaka/baba askofu!
rrrrrrrrraaaaaaaaaaaaaah!rrraaaaaaaaaah!
Kuna chimbo moja hivi.........(nitakwambia) ndo mpango mzima leo...........ki-lojistiks pamekaa njema, Fidel atapapenda sana kwa yale 4X4X far!!
 
Kuna chimbo moja hivi.........(nitakwambia) ndo mpango mzima leo...........ki-lojistiks pamekaa njema, Fidel atapapenda sana kwa yale 4X4X far!!
KAKA UMEONA nimeitendea nini hii yuzifuli post?
UMEONAAA EEH!?...
nasubiri dataaz hapa......

najua muhudumu mmoja lazima awe wangu hapo kaka
 
Kuna chimbo moja hivi.........(nitakwambia) ndo mpango mzima leo...........ki-lojistiks pamekaa njema, Fidel atapapenda sana kwa yale 4X4X far!!

B nawe unafanya hizo Lojistiks?...:shock:
 
KAKA UMEONA nimeitendea nini hii yuzifuli post?
UMEONAAA EEH!?...
nasubiri dataaz hapa......

najua muhudumu mmoja lazima awe wangu hapo kaka

Unawekeza kila baa...:decision:
 
Unawekeza kila baa...:decision:
which is good,yah!?
si umeona mwenyewe ni FOO BAI FOOO BAI FAAAAAAAA!
weldi cup na big-skrini!
nilikuwa ubaozi wa brazil thirty minutes ago kukamilisha application za uraia!INFIDELITY AT ITS BEST

LONG LIVE WELDI KAPU
LONG LIVE FIFA
 
hahahahaaaa!.yani ww ulifikiri hawa wataondoka kaunta na akili zao zilizochanganyika na valuu waende TBC kuongea huku wakiwa na glass za maji?
Kakague nimeitendea nini hii yuzifuli posti. Au kama una kauvivu ka hangover, angalia kwa hapa chini!!
The Following User Says Thank You to Bigirita For This Useful Post:

Chrispin (Today)​
 
Hapa leo tunajadili nini?
unajua wewe umeniangusha sana!
baada ya vinywaji vingi tumeingia studio kuchambua soka wewe ukajua tumeenda home...
sasa watu wamekunukuu kule
 
Kakague nimeitendea nini hii yuzifuli posti. Au kama una kauvivu ka hangover, angalia kwa hapa chini!!
The Following User Says Thank You to Bigirita For This Useful Post:

Chrispin (Today)​
nina piga coffee kwa wingi.......mning'inio wa ajabu, sijui ilikuwa gongo ile!!
 
Back
Top Bottom