N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Ona picha kisha sema ghorofa ya jengo gani nilipochukulia hizi picha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aiseeNi kweli mkuu nakula nalala na sikosi ya kula...nimeyapatia kabisa! food (including water), shelter and clothing are the necessities, na napata hizo zote.
Thread closedGolden Jubilee Towers
Wrong, ukiangalia picha ya kwanza Amani place imeonekana kwa nyuma pembeni kidogo, which ziko same line na golden jubilee,Thread closed
Daah, kweli mkuu, upo sahihi, nakiona kijiwe pale miaka ile wale jamaa wa pasipoti mbele ya mambo ya ndani.Wrong, ukiangalia picha ya kwanza Amani place imeonekana kwa nyuma pembeni kidogo, which ziko same line na golden jubilee,
Picha ya pili inaonyesha wing c ya golden jubilee, from that we conclude ni Exim tower.
Na picha zinazofuata ndo kabisa zinaonyesha jengo la posta na Jubilee tower yenyewe wing b na c.
Gorofa la kulia ni Ramada encore...Wrong, ukiangalia picha ya kwanza Amani place imeonekana kwa nyuma pembeni kidogo, which ziko same line na golden jubilee,
Picha ya pili inaonyesha wing c ya golden jubilee, from that we conclude ni Exim tower.
Na picha zinazofuata ndo kabisa zinaonyesha jengo la posta na Jubilee tower yenyewe wing b na c.