TEC na Taasisi nyingine mnalialia kuwa mnasaidia elimu bora kumbe ndio mnasujudu umaskini

TEC na Taasisi nyingine mnalialia kuwa mnasaidia elimu bora kumbe ndio mnasujudu umaskini

mgt software

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
13,778
Reaction score
7,145
Wana JF,

Nimeona sehemu wakuu wa vitengo kidini wakijitetea kupunguziwa kodi wakijinasibu kuwa wanasaidia sana kwenye sekta ya elimu, kumbe ndio wanyonyaji wakubwa.

Kwa sasa shule za Romani na KKKT ni ghali mno. Kuna shule zilianzishwa kama za kusomesha watoto yatima lakini zimekuwa zikipandisha ada sana kiasi kwamba wengi wameacha shule njiani. Bado shule hizi ukishapitia huko Serikali haikupi mkopo kwa kuwa umepitia Sts eti hapo unajiweza sana.

Mlianza kwa kusaidia kwa sasa ni biashara kabisa.

Askofu Pengo aliwahai kuambiwa shule zake kutosaidia wakati hata wanapata misaada huko nje.

Pia soma
- Rais Samia: Taasisi za Dini zinazotoa huduma ya Afya na Elimu baadhi zinatozwa kodi kwa sababu zinafanya biashara
 
Hawa ni wanasiasa wenzao, dini zao ni kitengo tu.

Watumishi wa Mungu wangekuwa wanakemea maovu ya watawala kama tunavyosoma katika Biblia. Ajabu hawa wanajua watawala maovu wanayo yafanya Ila wanaungana nao ilimradi walindwe kwa panga zao zilizo jaa damu ya udhalimu.
 
acha uongo wewe kuna shule ambazo hazikamatiki kwa ada wewe unasema shule za kkkt na romani zinagharama kubwa?Mm kipato changu ni cha kawaida tu lkn namudu kuwalipia watoto shule.mfano mabamba girls kibondo kigoma ada ni shilingi 1,500,000 na unalipa kwa awamu tatu pia Carmel kigoma mjini the same.hebu tutajie hizo shule zinazotoza ada kubwa.nakuongezea nyingine new man kigoma mjini gharama ni hiyo hiyo tena mkuu wa shule amewasameha wazazi wenye watoto watakaoingia kidato cha nne mwakani watalipa nusu tu ya ada.wakati mwingine mnatakiwa kuandika vitu vya ukweli na si mihemuko.
 
Kati ya watu wanaonufaika na huduma za afya zenye ubora wa juu hapa nchini kwa bei ya Kitonga ni wakazi wa Makete na Njombe kupitia Hospitali ya kanisa katoliki ya IKONDA. Hospitali ina hadhi kama Agha Khani ya Dar ambayo maskini pamoja na Bima zetu za NHIF hatugusi pua zetu pale Agha Khan. Lakini kwa wakazi wa Makete wanajiachia tu pale Ikonda huduma ni za kiwango cha juu sana usafi kama upo Hotel yanyota 5
 
acha uongo wewe kuna shule ambazo hazikamatiki kwa ada wewe unasema shule za kkkt na romani zinagharama kubwa?Mm kipato changu ni cha kawaida tu lkn namudu kuwalipia watoto shule.mfano mabamba girls kibondo kigoma ada ni shilingi 1,500,000 na unalipa kwa awamu tatu pia Carmel kigoma mjini the same.hebu tutajie hizo shule zinazotoza ada kubwa.nakuongezea nyingine new man kigoma mjini gharama ni hiyo hiyo tena mkuu wa shule amewasameha wazazi wenye watoto watakaoingia kidato cha nne mwakani watalipa nusu tu ya ada.wakati mwingine mnatakiwa kuandika vitu vya ukweli na si mihemuko.
Jamaa atakuwa kaandika huku akisukumwa na chuki ya udini
 
Yaani hawa watu ni wanafiki kwa kiwango Cha degree!! Shule zao ndio zinaongoza kwa kutoza ada kubwa!! hospital na vituo vyao ndio zinaongoza kwa gharama kubwa!! Mfano St Thomas ya morogoro kigurunyembe, karibu na ofisi za CCT .ni kituo kinachoongoza kuchagi wagonjwa Bei kubwa!! halafu ukiomba risti ya mashine, wanakwambia mashine mbovu!! hivyo wanalazimisha uchukue risti ya kuandika kwa mkono!! Taasisi za kidini ni wezi!!
 
Yaani hawa watu ni wanafiki kwa kiwango Cha degree!! Shule zao ndio zinaongoza kwa kutoza ada kubwa!! hospital na vituo vyao ndio zinaongoza kwa gharama kubwa!! Mfano St Thomas ya morogoro kigurunyembe, karibu na ofisi za CCT .ni kituo kinachoongoza kuchagi wagonjwa Bei kubwa!! halafu ukiomba risti ya mashine, wanakwambia mashine mbovu!! hivyo wanalazimisha uchukue risti ya kuandika kwa mkono!! Taasisi za kidini ni wezi!!
st. Joseph ya mjini bei inatisha kuanzia primary hadi sekondari, nenda Hope and Joy secondary m3 na primary 1.8m japo kuna ukristo kweli?
 
st. Joseph ya mjini bei inatisha kuanzia primary hadi sekondari, nenda Hope and Joy secondary m3 na primary 1.8m japo kuna ukristo kweli?
Mi siku hizi niliacha kuchangia michango ya shule au kituo Cha afya kanisani!
 
acha uongo wewe kuna shule ambazo hazikamatiki kwa ada wewe unasema shule za kkkt na romani zinagharama kubwa?Mm kipato changu ni cha kawaida tu lkn namudu kuwalipia watoto shule.mfano mabamba girls kibondo kigoma ada ni shilingi 1,500,000 na unalipa kwa awamu tatu pia Carmel kigoma mjini the same.hebu tutajie hizo shule zinazotoza ada kubwa.nakuongezea nyingine new man kigoma mjini gharama ni hiyo hiyo tena mkuu wa shule amewasameha wazazi wenye watoto watakaoingia kidato cha nne mwakani watalipa nusu tu ya ada.wakati mwingine mnatakiwa kuandika vitu vya ukweli na si mihemuko.
st francis mbeya
 
Yaani hawa watu ni wanafiki kwa kiwango Cha degree!! Shule zao ndio zinaongoza kwa kutoza ada kubwa!! hospital na vituo vyao ndio zinaongoza kwa gharama kubwa!! Mfano St Thomas ya morogoro kigurunyembe, karibu na ofisi za CCT .ni kituo kinachoongoza kuchagi wagonjwa Bei kubwa!! halafu ukiomba risti ya mashine, wanakwambia mashine mbovu!! hivyo wanalazimisha uchukue risti ya kuandika kwa mkono!! Taasisi za kidini ni wezi!!
St Thomas ya Morogoro mbona bei yao ya chini sana? Au waandika kwa mhemko wa dini??
 
Yaani hawa watu ni wanafiki kwa kiwango Cha degree!! Shule zao ndio zinaongoza kwa kutoza ada kubwa!! hospital na vituo vyao ndio zinaongoza kwa gharama kubwa!! Mfano St Thomas ya morogoro kigurunyembe, karibu na ofisi za CCT .ni kituo kinachoongoza kuchagi wagonjwa Bei kubwa!! halafu ukiomba risti ya mashine, wanakwambia mashine mbovu!! hivyo wanalazimisha uchukue risti ya kuandika kwa mkono!! Taasisi za kidini ni wezi!!
Serikali inajikosesha mapato ya kutosha hapa.

Hakuna haja ya kupewa misamaha ya kodi hawa wafanya biashara. Hata wachungaji, mapadri na mashehe wanapaswa kulipa kodi kwani mapato yao ni makubwa kuliko watumishi wengi wanaokatwa kodi.

Majizi makubwa haya.
 
Wangepunguza ada pale st Augustine ifike hata laki tano kila kozi ningejua wanasaidia, nje ya hapo ni wapiga porojo
 
Kati ya watu wanaonufaika na huduma za afya zenye ubora wa juu hapa nchini kwa bei ya Kitonga ni wakazi wa Makete na Njombe kupitia Hospitali ya kanisa katoliki ya IKONDA. Hospitali ina hadhi kama Agha Khani ya Dar ambayo maskini pamoja na Bima zetu za NHIF hatugusi pua zetu pale Agha Khan. Lakini kwa wakazi wa Makete wanajiachia tu pale Ikonda huduma ni za kiwango cha juu sana usafi kama upo Hotel yanyota 5
Wanajiachia utafikiri wako Saifee hospitali pale Al Hassan Mwinyi road kwa usafi ila customer care wazito kama zege

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni mkatoliki kindaki ndaki ibada nasali Kwa lugha ya kanisa (kilatini)
Nasema hivi, walipishwe Kodi Kama kawaida kwenye shule za kanisa kwasababu zinafanya biashara tena ya ghali ajabu
 
Back
Top Bottom