Godfrey waryoba
Member
- Mar 23, 2012
- 15
- 2
Mimi nina mdogo wangu kamaliza form 4 miaka mitatu iliyopita phy-c, chem-c, biology-c, maths-d, geo-d, kisw-d, civics-d na eng-f ana division three na anataka kuomba machua age entry ili asome kozi ya civil engeering arusha tech. Tafadhali wana jf naomba ushauli wenu