Technical explanation on Concentrate Ban from ACACIA Chief Operating Officer

Kulipa watalipa (akina nani?) bila shaka na kwa kutumia pesa zao (au za wananchi?)
Nchi hii ccm wameifanya shamba la bibi kuvurunda wanavurunda wao lakini mzigo wote wanauangushia kwa wananchi baada ya kudanganywa kwa sentesi ndefu zenye kushusha lawama kwa wasiohusika na wahusika kulindwa kwa nguvu zote.ni kweli kabisa wananchi ndiyo wataisoma hiyo namba!!!!! wao wakiwa wanakula kiyoyozi tu!!!
 
Bas sema, tutalipa!
 
Issue hapa siyo kuwa wanadaiwa kiasi gani issue hapa ni kweli wanadaiwa???na hiyo hakuna haja ya kumwambia Tundu Lissu aonyeshe ni kiasi gani,ni serikali ndiyo inatakiwa kuwaeleza kwa uwazi wananchi wake ambao serikali hii imewaingiza mkenge wa kulipa madeni makubwa.Serikali iache kuchengesha kwa kutupia lawana kwa wanasiasa wakati wananchi wanawasomesha namba za ki-rumi ambazo hawana mpango nazo kabisa!!!!
 
Asipoleta ushahidi ndio tutakuwa hatudaiwi?

Mbona ushahidi wa mtanzania aliyetuingiza kwenye deni la 87b upo na hamjamkamata akajibu mashtaka ya uhujumu uchumi?

Unaulizia ushahidi kanakwamba unauhitaaaaji!
 
Mpaka sasa tanzania tunadaiwa wastani wa kiasi sani cha pesa in USD (kwa makadilio)
 
Kama serikali haiwezi kujibu upotoshwaji basi sisi wananchi tutajua kuwa kwenye mazungumzo hayo Nchi yetu inapumulia mashine na iache kukamata watu ovyo kwa kusema ukweli ulivyo na waache kujikita kudanganya watu kwa kukaa kimya wakitegemea watu watasahau!!! au wakitegemea na hili nalo litapita tu!!!!!
 
Acha kutetea siasa za kijinga! Hakuna hati yoyote ya madai inayothibitisha Acacia wanaidai serikali shilingi trilioni 4 kutokana na zuio la makanikia.

Hoja zako zote ni kutetea Ujinga ambao hautakusaidia hata kuteuliwa kuwa DC wewe unatumika tu wala huna uelewa wowote na unatetea usichokijua maana umejifanya Msukule kwa kukataa kuelewa.
 
Haya sawa!

Zamaladi Kawawa yeye alipewa MANDATE na serikali ya kujibu hoja zote za Tundu Lissu lakini alishindwa kuzijibu na kurukia mambo ambayo yalimfanya aaibike mbele ya waandishi.Itakuwa wewe Msukuma mwenzangu!!!!!
 
Japo Kikwete amesema "UPINZANI SIO UADUI" nashindwa kuelewa ni kwa nini maoni mengi yanayokinzana ndani ya JF huwa ni ya kimatusi tusi! Hii ni dhahiri kwamba watanzania, tayari tuna chembe chembe za upinzani wa kiuadui!
Tujitafakari juu ya ama kuwa na upinzani kwa ajili ya maendeleo au ya uadui!
 
Ndiyo akili yako ilipoishia hapo????Its only when a mosquito lands on your testicles, that you realize there is always a way to solve problems without using violence!!!!!!
 
I feel sorry for you! Don't use this forum to exhibit your malignant ignorance. You don't need to use foul language to make your point, then again little minds usually use obscene language to disguise their stupidity. Sorry again!!
 
Tumia akili kufikiri usitumie makalio yako,uzi wenyewe umeuharibu kwa kauli zako chafu wewe huna point hapo unabwabwaja bure tu kufurahisha wakubwa.eti very honest and genuine portrayal of Africa.Upuuzi mtupu!!!
 
Ila wewe jamaa bana, unaonekana unapenda sana kutukana mitandaoni!

Si kweli maneno yako ndiyo yanasababisha hayo, wewe badala ya kutetea Makinikia yako unaleta upuuzi. kwa vyovyote vile majibu yatakuwa ya kipuuzi tu.Haya yote ni kwa sababu Mada yenyewe umeidandia tu wala huna elelewa katika hilo ndiyo maana unaonekana kama mpiga debe tu anayetumiwa kufanya kazi ya mkuu wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…