Massanda OMtima Massanda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 1,056
- 562
The fact here is not about indemnifying foreign investors. it is about integrity! We cannot persevere our economy's exploitation from foreigners simply because they are foreigners. Once we realize that the scale / magnitude of shortfalls in our mining laws is high or unbearable, we should immediately take the needful regulatory steps!I am originated from north western part of Tanzania.
Name has got nothing to do with reality.
Ni vizuri kubadilisha, lakini ni vyema kufahamu kuwa hawa ni wageni wametoka kwao kuja kuwekeza Tanzania kwa nia ya kupata faida. Kwa hiyo, unapofanya marekebisho ya sheria za madini ni lazima ukazingatia kanuni na taratibu za kiuwekezaji bila kuathiri pande zote mbili.
Kwani baada ya mabadiliko ya sheria za madini, mikataba imekuwa bora? Jibu ni hakuna, kinachoendelea sasa hivi ni kudhohofika kwa sekta ya madini!
Do not compare us with a very powerful and ambitious government like China, more reforms are needed to promote costitutionalism in our country than having an outdated and outmoded style of leadership.
Remember minerals never rot. They can wait another time at some point!