Technologia Hii ya Drones Tumejiandaa Kukabiliana Nayo Kiulinzi

Technologia Hii ya Drones Tumejiandaa Kukabiliana Nayo Kiulinzi

natumbaku Chambeho

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2014
Posts
551
Reaction score
209
Drone ni technoligia ambayo inakuwa kwa kasi ya ajabu na kutumiwa katika masuala ya kijeshi na mataifa makubwa ulimwenguni. Nina ambiwa taifa kama iran nalo linapiga hatua ya kueleweka katika technologia hii.

Tumeona jinsi marekani wanavyo itumia hii technologia kupambana na magaidi kama taliban kule afghanstan na pakistani mpaka hizi drones zikepewa jina la red bee.

Sasa sisi kama taifa tumejipanga vipi tusiachwe na wezetu katika hii technologia ya drones?
 
nadhani wenyewe watasema 'that's classified'. ila kweli ni lazima twende na wakati, tutumie mbinu za kisasa kupamabana na hatari kutoka ndani na nje. nadhani wahusika watakuwa wanalifahamu na natumai tunajitahidi kadri inavyowezekana kutokana na jinsi tunavyotengeneza maadui kwa kusadia majirani kupamabana na maadui zao.
 
zst2.jpg
 
I don't think we can afford having drones for now. Kumbuka Hizo drones ni highly advanced technological military equipment na Tanzania tumezoea kununua vifaa ambavyo mataifa makubwa wameshatumia wee na kuvichoka Ndipo wanatuuzi kwa bei chee. Vifaa vya kivita tu vya miaka Kati ya 2000-2010 bado hatujaweza kumiliki, je tutaweza kumiliki drones ambazo ndoo habari ya mjini kwenye tasnia za kijeshi kwasasa?
 
mpaka matofali yaishe, pengine ndio tutaweza....!
 
I don't think we can afford having drones for now. Kumbuka Hizo drones ni highly advanced technological military equipment na Tanzania tumezoea kununua vifaa ambavyo mataifa makubwa wameshatumia wee na kuvichoka Ndipo wanatuuzi kwa bei chee. Vifaa vya kivita tu vya miaka Kati ya 2000-2010 bado hatujaweza kumiliki, je tutaweza kumiliki drones ambazo ndoo habari ya mjini kwenye tasnia za kijeshi kwasasa?

Naunga mkono fact kuwa kama nchi inahitaji kuwa up to date na kasi ya teknolojia ya ulinzi basi lazima kuwekeza kwenye viwanda na utafiti wa fani husika!!!

Sisi huko bado!!
 
I don't think we can afford having drones for now. Kumbuka Hizo drones ni highly advanced technological military equipment na Tanzania tumezoea kununua vifaa ambavyo mataifa makubwa wameshatumia wee na kuvichoka Ndipo wanatuuzi kwa bei chee. Vifaa vya kivita tu vya miaka Kati ya 2000-2010 bado hatujaweza kumiliki, je tutaweza kumiliki drones ambazo ndoo habari ya mjini kwenye tasnia za kijeshi kwasasa?

hapana bana mwezi wa tisa mwaka huu tareh sikukumbuki nilikuona natoka tabata naelkea ubungo muda kama wa saa mbili ivi usiku kulikuwa n msafara wa magari ya jeshi yale yanayobeba vifaa vizito asikwambie mtu, kili alieopo ndani ya daladala tulibaki n hamaki sio vifaru ambavyo tuliviona wakati wa sikukuu ya muungano

tembeeni jamani
 
I don't think we can afford having drones for now. Kumbuka Hizo drones ni highly advanced technological military equipment na Tanzania tumezoea kununua vifaa ambavyo mataifa makubwa wameshatumia wee na kuvichoka Ndipo wanatuuzi kwa bei chee. Vifaa vya kivita tu vya miaka Kati ya 2000-2010 bado hatujaweza kumiliki, je tutaweza kumiliki drones ambazo ndoo habari ya mjini kwenye tasnia za kijeshi kwasasa?

Ungetutajia basi bei zake ili tukubaliane nawe kwamba hatuwezi kununua.

Pia drones sio habari ya leo,zipo kitambo sana.
 
Drones zipo toka miaka mingi sana. Ongelea miaka ya 60s. Hizi za leo ni maboresho tu.
 
Drone ni technoligia ambayo inakuwa kwa kasi ya ajabu na kutumiwa katika masuala ya kijeshi na mataifa makubwa ulimwenguni. Nina ambiwa taifa kama iran nalo linapiga hatua ya kueleweka katika technologia hii.

Tumeona jinsi marekani wanavyo itumia hii technologia kupambana na magaidi kama taliban kule afghanstan na pakistani mpaka hizi drones zikepewa jina la red bee.

Sasa sisi kama taifa tumejipanga vipi tusiachwe na wezetu katika hii technologia ya drones?
Hahahahahahahahahahahaha! Eti tumejipanga vipi tusiachwe na WENZETU...! Hahahaha you made my day! Hizi ni delusions of grandeur. In terms of military technology unasema USA, China, Iran, Israel ni wenzetu! Hahahahahahaha!
Dah!
Baiskeli na wheelbarrows tunaagiza China leo hii unauliza DRONES! Hahahaha!
Tutaomba tu kusaidiwa mkuu, kama tunavyoomba na kusaidia kila tulichonacho!
 
we don't need drones.... hakuna sababu... hata hayo mavifaru na rada za ajabu hatuzihitaji!!! sidhani kama ni busara kujipanga kuua binadamu wenzako.. ni machizi tuuna watu waliovimbirwa ndo wanaweza kufikiria mambo ya kupigana. Kuna nchi kadhaa zina maendeleo na ziko kisasa zaidi kama Uswizi wala haziwazi zana za kivita.
 
Drones zipo toka miaka mingi sana. Ongelea miaka ya 60s. Hizi za leo ni maboresho tu.
You are right ila kumbuka za kipindi hicho We're not terribly effective Kama hizi za sasa. Embu tu trace back Kwenye matukio ya US drones ya hivi karibuni kuanzia 2012 kule North Waziristan na Northwestern part of Pakistan katikati ya January hadi August 2013. Yalikuwa ni 45 strikes tu lakini effects zake zinakumbukwa hadi sasa, no balaa."The drones are like the angels of death," says Nazeer Gul, a shopkeeper in the Pakistani town of Miramshah. "Only they know when and where they will strike."
 
Nilikuwa napita tu wana JF,...
lakini ninavofahamu kila nukta inayopotea kuna kitu kipya katika ulimwengu wa technologia kinabuniwa na kuzinduliwa.
 
Movie za Holloywood zinaharibu sana mindset za watu. Drones are useless in a serious battle

Marekani anatumia drones kwa wanamgambo wenye Aks na RPGs lakini sio kwa a serious modern army

Anga inalindwa 24/7 na SAM batteries. Drone hata iwe stealth vipi inaangushwa
 
Movie za Holloywood zinaharibu sana mindset za watu. Drones are useless in a serious battle

Marekani anatumia drones kwa wanamgambo wenye Aks na RPGs lakini sio kwa a serious modern army

Anga inalindwa 24/7 na SAM batteries. Drone hata iwe stealth vipi inaangushwa


Vipi kuhusu iraq ya sadam na libya ya khadafi hawa kuwa na hizi sam maana tunambiwa drones ndio zilitumika kufanya uchunguzi kwanza na baadaye mashambulizi ya ndege na meli ya kafuatia.
 
Vita Vya Tatu Vya Dunia Ndo Ivi Semeni Tu Drones,ndege Ya Malesha,habali Izi Waulize Mabingwa We2 Alkaeda-linked Alshaabbbabbbb
 
We unaongelea Drones Tanzania? Kama suala la umeme na maji tu bado tatizo leo hizo ndege? sisi bado sana labda tuombe msaada kutoka kwa China na huko anakopenda kwenda kuspend bwana mkubwa sijui wanapaita YUESIEI.
 
Back
Top Bottom