Licha ya dunia yetu kukua sana kwa sayansi na technology hadi kufikia binadamu kwenda sayari nyingine pia katika mawasiliano na pia anga za mwili wa binadamu ambapo mwaka 2025 kuna mpango wa kuunda artificial electronic bone hakutakuwa tena na vilema dunia
Pia wigo wa michezo mambo ya goal technology na VRA na mambo mengi ya sayansi yanazidi kukua lakini technology ya kuzungumza na wafu iko wapi wataalamu?