TECNO Tanzania
Senior Member
- Jul 6, 2016
- 192
- 217
- Thread starter
-
- #21
Maelezo yote hayo halafu hakuna bei ni sawa na kuhubiri bila kutoa wito kazi yako inakuwa bureBei elekezi ni Tsh 400,000/=
Kila kitu kwako ni NegativeJanja janja!
Ukubwa wa pua huo. Si ajabu hizo picha za promo hazijapigwa kwa kutumia tecno
Neno janja janja ni negative?Kila kitu kwako ni Negative
Aisee hatar sana keep doing it
Unahataraisha Afya ya Akili yako
Na ndiyo na mimi naisubiriaNaipa miezi miwili tu naipata kwa laki 2.
kusema kweli sijui, sijui kabisa....teknolojia ya simu ni operating system ipi inatumika kwenye simu hizo, nadhani hapa ndipo pa kuanzia/prime factor....... Android na IOS. Mengine ni nyongeza za brand husika????Wewe ni mfuatiliaji wa technolojia ya simu?Unaelewa tofauti kati ya simu za Tecno na brand nyingine kama vile Huawei,Samsung,iphone,xiaomi,oppo,Vivo,etc?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daahTatizo la tekno ni pale inapojiwasha tochi yenyewe iko mfukoni unakuja kushangaa tu paja linaungua kwa mbaaaaaaaaaali.
kusema kweli sijui, sijui kabisa....teknolojia ya simu ni operating system ipi inatumika kwenye simu hizo, nadhani hapa ndipo pa kuanzia/prime factor....... Android na IOS. Mengine ni nyongeza za brand husika????
Kikubwa kabisa ukitaka kujua ni simu ipi bora ndani ya android operating system miongoni mwa mambo ya msingi ya kujifunza/kuangalia ni aina ya processor ambazo simu hizi hutumia,ni processor ipi ni bora,vigezo gani hutumika kujua hii ni processor bora au laa,kuna madhara gani kutumia simu zinazotumia processor za hovyo,kuna faida gani kutumia simu zinazotumia processor bora na mwishowe jifunze ni simu gani ndani ya android operating system zinatumia processor bora na ni simu zipi zinatumia processor za hovyo halafu utakuja kunishukuru baadae!kusema kweli sijui, sijui kabisa....teknolojia ya simu ni operating system ipi inatumika kwenye simu hizo, nadhani hapa ndipo pa kuanzia/prime factor....... Android na IOS. Mengine ni nyongeza za brand husika????
Hebu kuwa serious hao wanaopiga selfie wameshika simu tofautitofauti au camon ina mjengo wa camera ulio tofauti?hii ni beyond ya camon 15
Behaviourist kuna kitu kingine tena hapa, njoo... nadhani sasa hizi processors na chipset (sijui ni nini) brand wanatengeneza wenyewe au zinakuwa supplied na operating system company?Baada ya hapo kwenye android tunaangalia chipset sasa. Ndipo shughuli pevu ilipo
Tatizo la tekno ni pale inapojiwasha tochi yenyewe iko mfukoni unakuja kushangaa tu paja linaungua kwa mbaaaaaaaaaali.
hahahahhaTatizo la tekno ni pale inapojiwasha tochi yenyewe iko mfukoni unakuja kushangaa tu paja linaungua kwa mbaaaaaaaaaali.