TECNOkutimiza ndoto yako Valentine day 2020

TECNOkutimiza ndoto yako Valentine day 2020

TECNO Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 6, 2016
Posts
192
Reaction score
217
Kuelekea kusherehekea siku ya wapendanao Februari 14, kampuni ya simu za mkononi TECNO, imeandaa mambo makubwa ambayo yatatimiza ndoto za wateja wake wengi watakaonunua simu za TECNO SPARK4, CAMON 12 na CAMON12 AIR, sio tu wateja hata wafuasi wake wa kurasa za TECNO mtandaoni watapata nafasi. Hapa kuna baadhi tu ya mambo yatakayofanywa na TECNO msimu huu wa Valentine.

Kubwa kuliko ni kwamba imeandaliwa zawadi ya Chopper riding, zawadi hii ni maalum kwaajili ya wateja watakaonunua simu tajwa pamoja na fans wa kurasa za TECNO mtandaoni, hapa wateja hao watapewa nafasi ya kuruka na Helikopta ili kutazama mwonekano wa Jiji zima la Dar es Salaam bure kwa masaa kadhaa wakiwa angani.

Unnamed QQ Screenshot20200209130035.png


Vilevile TECNO itawakutanisha watu wawiliwawili wa jinsia tofauti bila wao kufahamiana hii inajulikana kama Blind date na watapambwa kwa mavazi na mwonekano kwa gharama za TECNO ambapo wanawake watarembwa na saluni ya viwango vya juu sana na wanaume watavalishwa mavazi na duka lenye hadhi kisha kupelekwa kwenye hoteli moja maarufu yenye hadhi ya juu sana jijini Dar es Salaam kwaajili ya chakula cha jioni ama dinner. Kujua zaidi tembelea Maduka ya TECNO au kurasa zao za Facebook, Twitter tecnomobiletanzania au follow Instagram; TECNO Tanzania (@tecnomobiletanzania) • Instagram photos and videos

Pamoja na hayo yote, TECNO pia imeandaa zawadi kemkem kwa wateja watakaonunua simu yoyote ya TECNO.

Ikumbukwe kwamba Valentine ya mwaka 2019 TECNO iliwapeleka wateja na fans wake Visiwani Zanzibar kwaajili ya mapumziko na kutembelea maeneo maalum ya kitalii.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2020-02-08 at 5.50.35 PM(1).jpeg
    WhatsApp Image 2020-02-08 at 5.50.35 PM(1).jpeg
    22.7 KB · Views: 1
Naona mnataka mshiriki kwenye kuvunja ndoa za watu hapo kwenye blind date yaan Tecno pamoja na kusemwa kote juu ya simu zenu bado hamchoki mnataka msemwe na wanandoa
 
Moja ya kampuni za hovyo za simu hapa Tanzania n umasikin tu ndio unatufanya tununue bidhaa zenu

Simu gan ukiweka tu mfukon unaweza kuta imewapigia watu lukuki imejibu SMS imetuma SMS ukishangaa hata inaweza kumtongoza mke wako kwa Mara ya pili

Pia inaweza jiwasha tochi kutwa nzima bila we we kujua

Ukipiga kukata simu n mtihan had utoe betri

Hahahaha tecno nyie ni konyooooo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ya kampuni za hovyo za simu hapa Tanzania n umasikin tu ndio unatufanya tununue bidhaa zenu

Simu gan ukiweka tu mfukon unaweza kuta imewapigia watu lukuki imejibu SMS imetuma SMS ukishangaa hata inaweza kumtongoza mke wako kwa Mara ya pili

Pia inaweza jiwasha tochi kutwa nzima bila we we kujua

Ukipiga kukata simu n mtihan had utoe betri

Hahahaha tecno nyie ni konyooooo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Nyie tecno hivi mlishashibdwa kabisa kutengeneza simu inayotumia laini moja tu?
 
Kuelekea kusherehekea siku ya wapendanao Februari 14, kampuni ya simu za mkononi TECNO, imeandaa mambo makubwa ambayo yatatimiza ndoto za wateja wake wengi watakaonunua simu za TECNO SPARK4, CAMON 12 na CAMON12 AIR, sio tu wateja hata wafuasi wake wa kurasa za TECNO mtandaoni watapata nafasi. Hapa kuna baadhi tu ya mambo yatakayofanywa na TECNO msimu huu wa Valentine.

Kubwa kuliko ni kwamba imeandaliwa zawadi ya Chopper riding, zawadi hii ni maalum kwaajili ya wateja watakaonunua simu tajwa pamoja na fans wa kurasa za TECNO mtandaoni, hapa wateja hao watapewa nafasi ya kuruka na Helikopta ili kutazama mwonekano wa Jiji zima la Dar es Salaam bure kwa masaa kadhaa wakiwa angani.

View attachment 1351934

Vilevile TECNO itawakutanisha watu wawiliwawili wa jinsia tofauti bila wao kufahamiana hii inajulikana kama Blind date na watapambwa kwa mavazi na mwonekano kwa gharama za TECNO ambapo wanawake watarembwa na saluni ya viwango vya juu sana na wanaume watavalishwa mavazi na duka lenye hadhi kisha kupelekwa kwenye hoteli moja maarufu yenye hadhi ya juu sana jijini Dar es Salaam kwaajili ya chakula cha jioni ama dinner. Kujua zaidi tembelea Maduka ya TECNO au kurasa zao za Facebook, Twitter tecnomobiletanzania au follow Instagram; TECNO Tanzania (@tecnomobiletanzania) • Instagram photos and videos

Pamoja na hayo yote, TECNO pia imeandaa zawadi kemkem kwa wateja watakaonunua simu yoyote ya TECNO.

Ikumbukwe kwamba Valentine ya mwaka 2019 TECNO iliwapeleka wateja na fans wake Visiwani Zanzibar kwaajili ya mapumziko na kutembelea maeneo maalum ya kitalii.
nauliza simu ya tecno R 7 ina "built in battery" au...na ni kwanini hazipatikani kwenye maduka yenu isipokua Tigo shop tu
 
Sema unachangamsha genge tu. Tecno hazipo hivyo
Moja ya kampuni za hovyo za simu hapa Tanzania n umasikin tu ndio unatufanya tununue bidhaa zenu

Simu gan ukiweka tu mfukon unaweza kuta imewapigia watu lukuki imejibu SMS imetuma SMS ukishangaa hata inaweza kumtongoza mke wako kwa Mara ya pili

Pia inaweza jiwasha tochi kutwa nzima bila we we kujua

Ukipiga kukata simu n mtihan had utoe betri

Hahahaha tecno nyie ni konyooooo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ya kampuni za hovyo za simu hapa Tanzania n umasikin tu ndio unatufanya tununue bidhaa zenu

Simu gan ukiweka tu mfukon unaweza kuta imewapigia watu lukuki imejibu SMS imetuma SMS ukishangaa hata inaweza kumtongoza mke wako kwa Mara ya pili

Pia inaweza jiwasha tochi kutwa nzima bila we we kujua

Ukipiga kukata simu n mtihan had utoe betri

Hahahaha tecno nyie ni konyooooo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ona aibu basi
 
Moja ya kampuni za hovyo za simu hapa Tanzania n umasikin tu ndio unatufanya tununue bidhaa zenu

Simu gan ukiweka tu mfukon unaweza kuta imewapigia watu lukuki imejibu SMS imetuma SMS ukishangaa hata inaweza kumtongoza mke wako kwa Mara ya pili

Pia inaweza jiwasha tochi kutwa nzima bila we we kujua

Ukipiga kukata simu n mtihan had utoe betri

Hahahaha tecno nyie ni konyooooo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Maumbo,upana na.ukubwa tu labda na uzito

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona mnataka mshiriki kwenye kuvunja ndoa za watu hapo kwenye blind date yaan Tecno pamoja na kusemwa kote juu ya simu zenu bado hamchoki mnataka msemwe na wanandoa
Habari Caryeda, hapana si hivyo. Lengo letu ni kuwakutanisha kwaajili ya chakula cha pamoja wakiwa na timu ya TECNO na kuna vigezo na masharti ambavyo vitazingatiwa kikamilifu. Kwa taarifa zaidi unaweza kutembelea kurasa zetu za mitandao ya kijamii. Asante.
 
Moja ya kampuni za hovyo za simu hapa Tanzania n umasikin tu ndio unatufanya tununue bidhaa zenu

Simu gan ukiweka tu mfukon unaweza kuta imewapigia watu lukuki imejibu SMS imetuma SMS ukishangaa hata inaweza kumtongoza mke wako kwa Mara ya pili

Pia inaweza jiwasha tochi kutwa nzima bila we we kujua

Ukipiga kukata simu n mtihan had utoe betri

Hahahaha tecno nyie ni konyooooo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Habari Peramiho Yetu, Pole sana kwa tatizo lolote ulilolipata wakati unatumia simu ya TECNO. Tafadhali tujuze ni simu ipi ya TECNO unayotumia na inakuletea matatizo hayo yote ili tuweze kukusaidia kikamilifu kwani simu zetu zote zina Warantii kwa wateja wetu. Karibu!
 
Back
Top Bottom