Watoto watatu,
Hilo wigi mwenyewe kaona katokeleza but mmmh… kila kitu ovyo kuanzia make upView attachment 1983714
E bwana utopolo anaoweka kichwani unamfanya awe ovyo zaidi. Kuridhika na maisha haihusiani na yeye kuvaa visivyompendeza tena hata kidogo. First alieka meno yake akawa anaonekana ana kama ana meno 60 mdomoni, kabadilisha akarudi kuwa msupu, sasa doooh! Blonde or colored hair sio za kila mtu. To me, she looks absolutely ugly kwa anavyojiweka currently. Na kupretend kusahau kiswahili ..dah! Sipendi watu waigizaji wa namna hii aisee! Anyway…. Maisha yake.
Naona umeamua kunifanya nijione mzee au sio?poa tu babu!!Back 2 Back
5 Grooves
Top 10 enzi hizo channel 5 zilikuwa Dillema,Like I love you(Justine Timberlake),Move B!t<h(Ludacris),Gimme the light(Sean Paul)
Yup... macho yake hayana sparkle at allUmenifanya nikapitie page yake insta sababu sikumfatilia muda
She looks unhappy though sijui kwanini namuona hana furaha
Seems things are tough
Umenifanya nikapitie page yake insta sababu sikumfatilia muda
She looks unhappy though sijui kwanini namuona hana furaha
Seems things are tough
2002, Dilemma ilikuwa inachezwa Channel 5 almost after every one hour!
Hujui kufafanisha... Anyway try again...
Teddy yuko na beauty fulani hivi amazing, uzuri zaidi ni kuwa she is very intelligent. Mimi huwa namfananisha na Halle Berry sura zao zinafanana. Natamani aigize kwenye movie kama young Halle Berry.
Im just fantasizing.