TANZIA Teddy Mwanambilimbi hatunaye tena

Status
Not open for further replies.
Wazee wa manunuz wa magari ya wenzao TATA, IVECO, MAN, Leyland wao hata toothpick wameshindwa. Wenzao Vietnam wametuletea mpaka kampuni ya Simu Halotel hapa tumebaki kumwagilia maua bustanini
 
Uliposema 1987, nikaona you must have enough experience to embark on that! At that time I had my first degree -UDSM two yrs before!
Heshima yako kaka mkubwa by then mie ndio nilikuwa huko kwetu nachunga ndama na mbuz
 
Mbona mnawalaumu mainjinia. Wachumi kila Siku dola inapanda.
Masoko ndiyo kabisa haya machungwa yetu mmeshindwa kuyauza tuu.
Hr uuwiiiii wamebaki kusimamia mavazi maofisini
Waaacheni mainjinia bwana nchi yenyewe ukigungua gobole unakamatwa
 
So picha ya marehemu ina ruhusiwa kuweka humu?/Unclassified? Juzi nimesikia Rais Kagame ni komando kumbe marehemu naye alikuwa muFTC. Wakati tukijua ni mwanamziki.

Pumzika kwa amani Teddy.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…