plan z
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 1,394
- 1,434
Universe yetu ina takribani miaka 93 Billion Light years. Ninaposema 93 Billion Light years ninamaanisha kwamba ili uvuke Universe yetu ni lazima kwanza usafiri kwa speed of light yaani Kilometre 300,000 kwa sekunde moja au Metre 300,000,000 kwa sekunde ( hiyo ndo speed of light). Sasa kwa kutumia speed hiyo usafiri kwa miaka billion 93 ndo utavuka Universe yetu.
Hebu kwanza tuwekane wazi Universe ni kitu gani. Tuangalie Jua (The Sun) hiyo ni nyota. Sasa nyota hii ya jua inazungukwa na sayari nane ukiacha pluto inayopotea na kutokea tena na kisha kupotea tena.
Nyota ya hivyo inayozungukwa inaform a single solar system. Mbali na nyota yetu hii zipo nyota zingine nyingi, sio zote zinazungukwa na planets. Kuna nyota zingine zinazungukwa na planets zinaform another solar system.
Sasa basi mkusanyiko wa nyota zote hizo na sayari zote hizo na kila kitu. Zinaform kitu kinachoitwa Gallaxy. Mbali na Gallaxy moja kuna gallaxy zingine nyingi, mkusanyiko huo unaitwa Cluster.
Mkusanyiko wa Cluster nao unaform kitu kinaitwa Super Cluster. Mkusanyiko tena wa Super Cluster ndio unatengeneza Universe, sasa upeo wetu unaishia hapo kwenye Universe hakuna aliyewahi kuvuka Universe kisha akatuletea mrejesho nje kuna nini, sote tupo ndani ya Universe au naweza nikasema anga.
Nikudokeze tu siri mojawapo ambayo sipendi kuisema ni kwamba usilolifahamu, mbingu ya kwanza na mbingu ya pili ipo humu humu ndani ya universe, isipokuwa mbingu ya tatu alipo Mungu muumba wa mbingu na nchi, yenyewe ipo outside of our Universe.
Basi kumekuwa na tetesi kwamba eti kuna viumbe wanaitwa Aliens na wana IQ kubwa kuliko wanadamu yaani above 400 IQ. Lakini leo sitaki kuzungumzia Aliens wanatokana na nini, kuna siri hapo sitawaambia leo, japo najua Aliens wapo hapa hapa nyuma kidogo ya dunia hii na sio mbali. Ila nataka tu nikuambie jinsi wanasayansi wanavyoangaika kutafuta Aliens wanapoishi.
Kwa kweli wanasayansi wamehangaika mda mrefu sana kuchunguza huko na huko kuwatafuta Aliens na wametuletea sayari nyingi, leo tuichambue moja tu.
Katika tafiti za wanasayansi wamekuja na majibu kwamba. Kuna approximately 2 trillion gallaxies in our universe. Pia kuna approximately 100 billion stars na kila nyota ina average ya atleast 4 planets.
Katika tafiti zao waliiona nyota moja inayoitwa Teegarden star. Kisha katika kuichunguza nyota hiyo wakaona sayari wakaiita Teegarden B. Nyota hiyo ina joto mara 12 zaidi ya The Sun. Na sayari ya Teegarden B ina nyuzi joto 28°C na radius yake ni similar na The Earth.
Sayari ya Teegarden B ina maji ya bahari kama ilivyo dunia yetu. Basi katika kuangaika kwa wanasayansi huko wakahisi kwamba huenda sayari hii ndiko wanapoishi hao viumbe wanaoitwa Aliens.
View attachment:
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu kwanza tuwekane wazi Universe ni kitu gani. Tuangalie Jua (The Sun) hiyo ni nyota. Sasa nyota hii ya jua inazungukwa na sayari nane ukiacha pluto inayopotea na kutokea tena na kisha kupotea tena.
Nyota ya hivyo inayozungukwa inaform a single solar system. Mbali na nyota yetu hii zipo nyota zingine nyingi, sio zote zinazungukwa na planets. Kuna nyota zingine zinazungukwa na planets zinaform another solar system.
Sasa basi mkusanyiko wa nyota zote hizo na sayari zote hizo na kila kitu. Zinaform kitu kinachoitwa Gallaxy. Mbali na Gallaxy moja kuna gallaxy zingine nyingi, mkusanyiko huo unaitwa Cluster.
Mkusanyiko wa Cluster nao unaform kitu kinaitwa Super Cluster. Mkusanyiko tena wa Super Cluster ndio unatengeneza Universe, sasa upeo wetu unaishia hapo kwenye Universe hakuna aliyewahi kuvuka Universe kisha akatuletea mrejesho nje kuna nini, sote tupo ndani ya Universe au naweza nikasema anga.
Nikudokeze tu siri mojawapo ambayo sipendi kuisema ni kwamba usilolifahamu, mbingu ya kwanza na mbingu ya pili ipo humu humu ndani ya universe, isipokuwa mbingu ya tatu alipo Mungu muumba wa mbingu na nchi, yenyewe ipo outside of our Universe.
Basi kumekuwa na tetesi kwamba eti kuna viumbe wanaitwa Aliens na wana IQ kubwa kuliko wanadamu yaani above 400 IQ. Lakini leo sitaki kuzungumzia Aliens wanatokana na nini, kuna siri hapo sitawaambia leo, japo najua Aliens wapo hapa hapa nyuma kidogo ya dunia hii na sio mbali. Ila nataka tu nikuambie jinsi wanasayansi wanavyoangaika kutafuta Aliens wanapoishi.
Kwa kweli wanasayansi wamehangaika mda mrefu sana kuchunguza huko na huko kuwatafuta Aliens na wametuletea sayari nyingi, leo tuichambue moja tu.
Katika tafiti za wanasayansi wamekuja na majibu kwamba. Kuna approximately 2 trillion gallaxies in our universe. Pia kuna approximately 100 billion stars na kila nyota ina average ya atleast 4 planets.
Katika tafiti zao waliiona nyota moja inayoitwa Teegarden star. Kisha katika kuichunguza nyota hiyo wakaona sayari wakaiita Teegarden B. Nyota hiyo ina joto mara 12 zaidi ya The Sun. Na sayari ya Teegarden B ina nyuzi joto 28°C na radius yake ni similar na The Earth.
Sayari ya Teegarden B ina maji ya bahari kama ilivyo dunia yetu. Basi katika kuangaika kwa wanasayansi huko wakahisi kwamba huenda sayari hii ndiko wanapoishi hao viumbe wanaoitwa Aliens.
View attachment:
Sent using Jamii Forums mobile app