grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
(Galaxy,Cluster,super cluster)=>universe,multiverse,metaverse,xernoverse,hyperverse,omniverse ----->Heaven?Mkuu hao viumbe wana siri nyingi ambazo hatujui, next time ntakuja kuzichambua chache.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gud[emoji106](Galaxy,Cluster,super cluster)=>universe,multiverse,metaverse,xernoverse,hyperverse,omniverse ----->Heaven?
Conclusion
God exists outside the omniverse.
Sent using Jamii Forums mobile app
wanatusingizia waafrika, 73? hapanaMarilyn Savant yeye ndiye aliyewahi kurekodiwa na Guinness Book of Records KWAMBA IQ yake ikifikia 226 na Allien yao ni 400 hili lazima ni balaa jamaa angu.
Huku unaambiwa average ya nchi nyingi za Africa ni 73 I can imagine kwanini mtu mmoja alikua na gobole akateka Kijiji kizima hah!
Sent using Jamii Forums mobile app
Afrika kuna watu wana IQ kubwa ila wamebaniwa hawajawekwa kwenye historia.Marilyn Savant yeye ndiye aliyewahi kurekodiwa na Guinness Book of Records KWAMBA IQ yake ikifikia 226 na Allien yao ni 400 hili lazima ni balaa jamaa angu.
Huku unaambiwa average ya nchi nyingi za Africa ni 73 I can imagine kwanini mtu mmoja alikua na gobole akateka Kijiji kizima hah!
Sent using Jamii Forums mobile app
NyerereAfrika kuna watu wana IQ kubwa ila wamebaniwa hawajawekwa kwenye historia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba uendelee na somo hili la universe...je sasa anga lina mwisho
Nadhani sote tupo ndani ya anga la universe ila nje ya hapo cna idea kama kuna anga lingine au vpNaomba uendelee na somo hili la universe...je sasa anga lina mwisho
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawanimeishia hapo uliposema mbingu ya tatu ndipo alipo mungu, ila ulinivutia sana mwanzoni
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
Mimi nafanya comparison ya vitu viwili kwa pamoja. Sayansi na Biblia.Nimeanza kusoma vizuri tu.. ulipofika sehemu ya mbingu mbili sijui zipo kwenye hii universe..nikaona hili andiko ni shit kama shit nyingine tu[emoji706][emoji706]
Does God exist?Mimi nafanya comparison ya vitu viwili kwa pamoja. Sayansi na Biblia.
Sent using Jamii Forums mobile app
How told God stay in 3th skyKuna mungu anaabudiwa na wanazuoni flani anakaa anga la saba. Ila Mungu muumba mbingu na nchi anakaa mbingu ya tatu. Anga la kwanza hadi la saba lipo ndani ya universe, ukivuka utakutana na mbingu ya kwanza na ya pili ndani ya universe. Mbingu ya tatu sasa ndo outside of universe. Hapo kidogo utakuwa umeelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app