Teegarden B: Sayari yenye uwezekano mkubwa wa maisha ya Aliens

Boss hata Kama huna akili huon Kama unatiwa matango kizembe ivyo kwanza ili tu kuifikia lazima utumie speed of light Sasa Nan ambae amesha fanya ivyo je Kuna ushaid au ni vitu vya kufikirika vip alien wao wanakuja vip kwetu ilihali ili kusafir mpaka upate mwendo wa speed ya mwanga Basi ni lazima chombo kisiwe na uzito hata wa gram moja vip Allie hawana uzito wanasanyans hawataki kuamin Kuna mungu sababu hawana ushaid vip wanatumia nguvu kubwa kutuaminisha CC vitu ambavyo hawana ushaid?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…