Kwa nini tuliwapelekea hao wazungu kesi kama tunawaamini ni feki?so unawaamini sana hao wazungu na mahakama yao fake?,
hao ni international conmen ,mkiwalegezea mtauza hadi nguo za ndani kuwalipa,na ikishaa hiyo utasikia kumbe standard chartered hongkong nao waliuza deni kwa swiss bank ambao nao wamefungua kesi ya madai dhidi ya Tanesco,mtakamuliwa mpaka basi..
Ilimu ilimu ilimu
Inasemekana kamkuta Lizaboni anafagia akamuahidi U DC !Labda ndio maana Magufuli kavamia Lumumba...
Kumbuka Tibaijuka alipewa pesa toka kwa mbia wa IPTL ambaye alistuka kwamba pesa za IPTL na Tanesco zinapigwa! Kwa hiyo pesa yetu haikuchukuliwa na hawa tunao wafahamu bali majizi yaliyo lipwa kupitia Stanbic bank ambayo wamegoma kuwataja!Waibe hela wengine,sisi tulipe deni? Hii haikubaliki. Tibaijuka na wenzako mkalipe deni
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Nchi yetu watu wanasoma kama wanakalili mistari ya diamond ndo matokeo yake wakikutana na vichwa vilivyoingia chimbo kwenye mikataba na kwenye kesi lugha yenyewe ni utata kama hatujaondoa mwendo kasi tutaisoma tu
Hivi we kizibo umenielewa nilichokimaanisha ama unachangia ukiwa tumbo wazi?Hiki ndicho kinapelekea watanzania kuendelea kusoteshwa mazima. Kwa mawazo na akili yako unafikiri shirika linashindwa kufanya kazi ama wafanyakazi au viongozi ni dhaifu? Hujajua tu tatizo liko wapi pamoja na mambo yote yalivyo wazi nyakati hizi! Serikali isipoamua kuweka sawa maswala yote yanayohusiana na umeme na mikataba yake unafikiri kuna dawa?
Mkuu kumbe kuna ambao walikula mgao wa TEGETA ESCROW na hawakutajwa?Kumbuka Tibaijuka alipewa pesa toka kwa mbia wa IPTL ambaye alistuka kwamba pesa za IPTL na Tanesco zinapigwa! Kwa hiyo pesa yetu haikuchukuliwa na hawa tunao wafahamu bali majizi yaliyo lipwa kupitia Stanbic bank ambayo wamegoma kuwataja!
hahahahaa!Hao lawyers wa Tz walienda kufanya nini kwenye hiyo arbitration!?
Tanzani ya viwanda namwonea huruma Rais wangu Magufuli maana hii nchi alivyoikuta inabidi ajitoe ufahamu kuiongoza watu wenyewe kuelewa ni shida yaani yahitajika Maombi kwa kweli Mungu aingilie kati.Na bado
Mzimu wa Escrow unaendelea kututafuna. Millioni 400 kila siku na bado walipe na hiyo? [emoji23]
Mkuu Lizabon,mada iliyopo mezani ni hilo deni ambalo ni pigo kubw kwa Taifa. Yaani mada yote hiyo ndiyo uchangie maneno machache tena yakikosa kabisa hoja.Mnatamani sana Serikali ipandishe bei ya umeme ili muwe na ajenda majukwaani. Mmeula wa chuya. Hilo halitarokea kwa utawala wa Rais Magufuli
Tanzani ya viwanda namwonea huruma Rais wangu Magufuli maana hii nchi alivyoikuta inabidi ajitoe ufahamu kuiongoza watu wenyewe kuelewa ni shida yaani yahitajika Maombi kwa kweli Mungu aingilie kati.