Hii ni nchi ya amani zanzibar na bara. ACHA UCHOCHEZI. Ukileta fyokofyoko majeshi yataanza kufanya usafi sasa hiviIPTL ukiwaangalia vizuri Nchi za kusini wapo Tanzania tuu ni kuchaka cha kupigia hela za Tanesco, bill zipo juu kwa sababu ya hawa wachache na sisi tupo kimya tuu..
Mkuu hayo unayoyasema ni kweli yanaingia akilini. Sie tunapata umeme (hata kama bei ni kubwa[emoji15] ) umiliki hautuhusu sawa.Kumbuka as far as TANESCO is concerned wao wanamkataba wa kuzalishiwa umeme na IPTL.
How the ownership of IPTL changes hand sio tatizo lao; kwa hivyo mzozo wa umiliki ni shida ya PAP na Standard charter. Mahakama yetu imemtambua PAP kama ndio mmiliki halali wa IPTL baada ya kumaliza mgogoro wa umiliki na mmbia mmoja anayetambulika na BRELLA ambaye alikuwa Rugemalira.
Hao wazungu wamenunua tu deni la IPTL lakini awataki tena kulipwa hela tu bali wanataka umiliki wa IPTL na wanadai wao ndio wamiliki halali. Huko sasa kwenye umiliki TANESCO ausiki.
Na malipo ya escrow yametolewa baada ya mahakama kuamua mmiliki ni PAP kwa hivyo TANESCO wala mwanasheria mkuu aliye hukumiwa awakuwa na jinsi maana sheria ishasema. Walichotaka TANESCO mahakama itambue kama ulinzi wao akija mwingine kudai na yeye ndiye mmiliki wa IPTL waende kudaiana mahakamani ndio ilikuwa kigezo chao cha kutolewa hiyo hela na mahakama ikaridhia hivyo.
Halafu hiyo habari yenyewe imeandikwa kwa bias ya upande mmoja, kitu kinacho encourage na kuwapa nguvu hawa standard charter ni ushabiki wetu wenyewe uliojaa ignorance its simple kampuni bado ipo kwanini wasidai deni walilonunua wao awataki malipo ya deni bali wanataka kampuni na kuna watu wanawatetea amazing: only in Tanzania
Tanesco isipolipa hakuna shida. IPTL hawana uwezo wa kucheza na dola. Watafanya nini? Hakuna kitu. Dawa ni kutolipa tuone watakachofanya hao IPTL.Walifunika-funika moshi , leo hamadi moto unawaka [emoji91] [emoji91]
Kwa mbali namuona Kafulila "the monkey trouble" [emoji87] yuko juu anatazama watanzania walivyo wajinga tumepigwa teena.
Tulimtukana David Kafulila,tukamwita majina yote,leo ukweli uko sebuleni.Baba Taulo limedondoka.Waliochota hizo pesa ndiyo walipe.Waziri Muhongo sijui leo atatuambia nini!
Waliokwapua hizo hela ndio viongoI wako wa sasa,usitegemee wakusaidie zaidi ya kukubana na kodi kila kona. Kuna mmoja alisema bilioni 1.5 ni hela ya mboga.