TZ ina vyanzo vingi vya mapato tunaweza lipa tena kwa mkupuo kama tulivyonunua ndege:
1. Kuongeza malipo ya mikopo ya wanachuo.
2. kufuta fao la kujitoa
3. Kufuta kiinua mgongo kwa wastaafu.
4. Kuongeza makato kwenye miamala ya benki
5. Kuongeza makato kwenye simu
1. Kuongeza malipo ya mikopo ya wanachuo.
2. kufuta fao la kujitoa
3. Kufuta kiinua mgongo kwa wastaafu.
4. Kuongeza makato kwenye miamala ya benki
5. Kuongeza makato kwenye simu