Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake na IPTL -Independent Power Tanzania Limited.

Hukumu hiyo imefikiwa mwisho wa wiki iliyopita ambapo World Bank tribunal (international centre for settlement of investment disputes ICSID imeamuru TANESCO kuilipa Standard Chartered Bank Hong Kong (SCB HK) kiasi cha dola za kimarekani milioni 148.40 pamoja na tozo riba.

SCB HK ndio walionunua mkopo wa IPTL kutoka bank ya Malaysia Danaharta kwa gharama ya dola za kimarekani milioni 76.1

Kwa habari zaidi soma the Guardian la leo:

Mhuuuuu……!!!
 
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake na IPTL -Independent Power Tanzania Limited.

Hukumu hiyo imefikiwa mwisho wa wiki iliyopita ambapo World Bank tribunal (international centre for settlement of investment disputes ICSID imeamuru TANESCO kuilipa Standard Chartered Bank Hong Kong (SCB HK) kiasi cha dola za kimarekani milioni 148.40 pamoja na tozo riba.

SCB HK ndio walionunua mkopo wa IPTL kutoka bank ya Malaysia Danaharta kwa gharama ya dola za kimarekani milioni 76.1

Kwa habari zaidi soma the Guardian la leo:

Mhuuuuu……!!!
 
Majanga tena. Bado DP W
 
source iko wapi, au mmezoea mauzushi yenu hayo? kwa faida ya nani
 
Sasa hivi ni mwendo wa mafisadi na madalali wa kimataifa kuipiga Tanzania kama shamba la bibi kwa kufufua kesi za nyuma za kifisadi na kuchukua udhaifu wa viongizi vipofu na wanasheria wala rushwa kuipiga nchi!
 
CCM wanakoipeleka hii nchi wanajua wenyewe
Kesi ya DP world ndiyo itakuwa baba lao. Tutadaiwa fidia ya dola bil 380 kama zile tunazowadai Barick sema sisi lazima tulipe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…