Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

Kama walijikinga, kwa nini walipeleka kesi mahakamani in the first place na kulipa legal fees kubwa tu, kwani at the end of the day hawatakalipa chochote???
Kumbuka as far as TANESCO is concerned wao wanamkataba wa kuzalishiwa umeme na IPTL.

How the ownership of IPTL changes hand sio tatizo lao; kwa hivyo mzozo wa umiliki ni shida ya PAP na Standard charter. Mahakama yetu imemtambua PAP kama ndio mmiliki halali wa IPTL baada ya kumaliza mgogoro wa umiliki na mmbia mmoja anayetambulika na BRELLA ambaye alikuwa Rugemalira.

Hao wazungu wamenunua tu deni la IPTL lakini awataki tena kulipwa hela tu bali wanataka umiliki wa IPTL na wanadai wao ndio wamiliki halali. Huko sasa kwenye umiliki TANESCO ausiki.

Na malipo ya escrow yametolewa baada ya mahakama kuamua mmiliki ni PAP kwa hivyo TANESCO wala mwanasheria mkuu aliye hukumiwa awakuwa na jinsi maana sheria ishasema. Walichotaka TANESCO mahakama itambue kama ulinzi wao akija mwingine kudai na yeye ndiye mmiliki wa IPTL waende kudaiana mahakamani ndio ilikuwa kigezo chao cha kutolewa hiyo hela na mahakama ikaridhia hivyo.

Halafu hiyo habari yenyewe imeandikwa kwa bias ya upande mmoja, kitu kinacho encourage na kuwapa nguvu hawa standard charter ni ushabiki wetu wenyewe uliojaa ignorance its simple kampuni bado ipo kwanini wasidai deni walilonunua wao awataki malipo ya deni bali wanataka kampuni na kuna watu wanawatetea amazing: only in Tanzania
 
hii nchi ilishalaaniwa hakuna fedha
Ndio hivyo mkuu yaani hii ni sawa na mzazi anashindwa kufanya maamuzi ya kununua fridge familia yake ijidai kwa kunywa maji ya baridi kipindi cha joto, lakini kila mwaka inakuwa inalipa fidia na madeni kwa kuharibu mali za wengine. Kila mtu na mnyonge wake, serikali inatulalia sisi hasa tunapopatwa na majanga hata kama umekata bima watatafuta weakness point ili mradi uonekane mtumiaji umeme mzembe na nyumba imeungua kwa uzembe wako wakati wao kila siku wanalipa faini na wana timu ya wasomi. Ngoja tuhamie Mobisol tukapate solar za mkopo zenye mwanga wa kutosha na deni likilipwa tutarudi kutumia umeme wa TANESCO
 
Naona kama bill ya umeme kupanda ghafla
Na mkataba TANESCO na Ewura mwaka huu mwishoni TANESCO wanatakiwa kushusha bei ya umeme kwa 7%. Kwahiyo hawana ataa ajaa ya kupandisha bei ,ni uamuzi Wa kimya kimya tuu Tanesco awatapunguza bei .
 
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake IPTL -Independent Power Tanzania Limited.

Hukumu hiyo imefikiwa mwisho wa wiki iliyopita ambapo World Bank tribunal (international centre for settlement of investment disputes.

ICSID imeamuru TANESCO kuilipa Standard Chartered Bank Hong Kong (SCB HK) kiasi cha dola za kimarekani milioni 148.40 pamoja na tozo riba.

SCB HK ndio walionunua mkopo wa IPTL kutoka bank ya Malaysia Danaharta kwa gharama ya dola za kimarekani milioni 76.1

Kwa habari zaidi soma the Guardian la leo:

==========

TANESCO ordered to pay $148m over IPTL dispute


Washington-based tribunal rules in favour of Standard Chartered Bank, saying dubious payments made from the Tegeta escrow account to businessman Harbinder Singh Sethi do not discharge TANESCO's obligations to the bank


By Guardian Reporter

THE Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) has suffered a massive blow in its protracted legal dispute with Independent Power Tanzania Limited (IPTL) after a World Bank tribunal last week ordered the state-owned power utility to pay Standard Chartered Bank-Hong Kong (SCB-HK) $148.4 million (over 320 billion shillings) plus interest in outstanding capacity charges.

The ruling comes nearly three years since the government controversially authorised payments of over $200 million (440 billion/-) from TANESCO-IPTL’s Tegeta escrow account to businessman Harbinder Singh Sethi’s Pan Africa Power Solutions Tanzania Limited (PAP).

This was after SCB-HK purchased the IPTL loan at a discount price of $76.1 million from Malaysia’sDanaharta Bankin August 2005, following the latter’s failure to secure its outstanding loan from IPTL.

The actual face value of the debt was $101.7 million, according to available evidence. IPTL borrowed over $100 million in 1998 from a consortium of Malaysian banks in order to finance construction of its 100-megawatt Tegeta power generating plant.

Under that transaction, SCB-HK was assigned a number of contracts, including the 1997 Security Deed, the Implementation Agreement and the Guarantee Agreement concluded between IPTL and the Tanzanian government. The available details show that SCB-HK also became the Security Agent under the Share Pledge Agreement and the Shareholder Support Deed.

Part of the agreement said: “As Security Agent, SCB HK holds all of IPTL’s ‘right, title and interest in and to the Assigned Contracts, including all moneys which may at any time be or become payable to the Borrower.'"

TANESCO had earlier taken its dispute with IPTL to the World Bank-affiliated International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID) for arbitration after the state-owned power utility discovered that it was being overcharged in both capacity and energy charges.

Following this move, both parties agreed as stipulated in their 1996 Power Purchase Agreement (PPA) to establish an escrow account with the Bank of Tanzania (BoT), to be used to deposit all payments pending the outcome of the arbitration.

But a few months before ICSID issued its ruling, the government controversially (and secretly?) paid all the escrow money to PAP after the company claimed that it had acquired full 100 per cent ownership of IPTL in September 2013.

The Washington-based ICSID ruled in favour of TANESCO in February 2014, ordering a tariff recalculation so that finally the escrow money could be paid to either IPTL or the power utility firm, only to then be informed that a third party (PAP) had already been paid everything.

SCB-HK took TANESCO to the ICSID after it realised that the money in the escrow account has been paid to PAP at a time when there was still another pending case over the tariff dispute.

The bank was demanding outstanding payments to clear a loan taken by IPTL’s initial owners to set up the electricity generating turbines.

The Hong Kong-based bank took over control of IPTL after the company failed to pay its loan in 2008, and has since then been fighting to recover the debt.

And after more than five years of rigorous legal proceedings, ICSID judges have now finally ruled in favour of the bank.

"The tribunal orders that TANESCO pay to SCB-HK (Standard Chartered Bank Hong Kong) the amount of $148.4 million with simple interest at three month LIBOR (London Interbank Offered Rate) plus 4 per cent from September 30, 2015 until the date of this award," ICSID said in its latest ruling.

"Interest shall continue at the same rate until full payment is received," the ruling added.

DUBIOUS ESCROW ACCOUNT PAYMENTS

ICSID also ruled that payments made by the government from the infamous Tegeta Escrow Account "did not discharge TANESCO's obligations under the power purchase agreement (PPA) and thus cannot be used to reduce the amount that TANESCO owes SCB HK."

TANESCO paid more than $120 million from the IPTL Tegeta Escrow Account to Pan African Power Solutions (PAP)under dubious circumstancesin 2013.

The escrow account payments triggered a major national corruption scandal which ultimately led to the resignations of at least three senior ministers in then president JakayaKikwete's government.

A number of other senior government officials were also charged with corruption at the Kisuturesident magistrate's court over the IPTL escrow account scam.

Lawyers representing Standard Chartered Bank at the arbitration accused TANESCO of misleading the ICSID tribunal judges by concealing facts about the payments made from the escrow account to PAP.

"SCB-HK understands that PAP used $75 million of the funds obtained from the escrow account to pay VIP Engineering and Marketing Limited (owned by Tanzanian businessman James Rugemalira) for its 30 per cent shareholding in IPTL," says part of the 100-page ruling.

"The funds held in the escrow account that should have been available to satisfy TANESCO's payment obligations to IPTL under the PPA (power purchase agreement) have therefore been paid to two Tanzanian parties - VIP and PAP - neither of whom made any financial contribution to the construction of the facility," it adds.

The ruling seen by The Guardian was dispatched to the parties involved in the arbitration - Standard Chartered Bank and TANESCO - on September 12 this year.

The ICSID is part of the World Bank Group and is funded by the Bretton Woods institution. It is headquartered in Washington, DC, in the United States.

An ICSID award is binding on all parties to the proceeding and each party must comply with it.

If a party fails to comply with the award, the other party can seek to have the pecuniary obligations recognised and enforced in the courts of any ICSID member state as though it were a final judgment of that state’s courts.

Members of the tribunal that issued the award in favour of Stanchartwere Prof Donald McRae (president), Prof Zachary Douglas (arbitrator), and Prof Brigitte Stern (arbitrator).

In the arbitration process, the bank was represented by a team of lawyers from two London-based law firms - Herbert Smith Freehills LLP and Linklaters LLP.

TANESCO was represented by a team of lawyers from Tanzanian-based law firms R.K. Rweyongeza & Co. Advocates and Crax Law Partners, and a Zurich-based law firm Kellerhals Carrard.

ICSID ruled that each party should bear its own legal fees and expenses.
Unajua ukikufuru kwa Mungu majaribu yatakuwa mengi mpaka utubu!!
Haya yule mtakatifu asiye jaribiwa aseme sasa!! Ni nani aliyemjaribu! je ni upinzani? Kama hatachukua hatua tutamuelewa kama mbaguzi mtumbuaji!!
 
Mnatamani sana Serikali ipandishe bei ya umeme ili muwe na ajenda majukwaani. Mmeula wa chuya. Hilo halitarokea kwa utawala wa Rais Magufuli
Wapandishe au wataacha tuu.kushusha bei kwa 7% mwishoni mwa Mwaka huu .kama ambavyo mkataba uliopo baina tanesco na ewura unavyotaka !!?? Ccm mnafikiri atujui hiloo ?
 
Ka uchumi kenyew na hilo Deni + Deni LA Taifa
Dah hii awamu tata sana
[emoji123] [emoji119] [emoji120]
 
Kwa nn watu hatuna uzalendo kazi kuombea mabaya tu serikali why,inawezekana kabisa nyie mnaoombea mabaya hata familia zenu huwa mwaziombea mabaya iweni na uzalendo
Tumeombea mabaya watu wabebe pesa na sandarusi kutoka benk.Tumeombea serikali imlipe Singh pesa isiyo yake.tumeombea tudaiwe bilioni 300 .tumeombea mawakili Wa tanesco washindwa kesi !!!!!????
 
Hivi mnajua walioanzisha IPTL mpaka akizaliwa kitu inaitwa escrow mwanzilishi wake ninani kama sio hao waliokuwa wakiitwa boys 2man?
 
..haya sasa kumekucha....hili ni angalizo kwa watawala kuwa waanze sasa kuwashughulikia wale wote waliotuingiza kwenye deni hili...kwa kuingia mkataba feki na IPTL....waanze sasa watawala kushughulika na yale maazimio ya bunge...Btw.....yuko yule aliyesema pesa hizi hazituhusu watanzania?kama hazituusu vipi sasa tunatakiwa kulipa deni?
Fuluuu uchocheza kwa mheshimiwa huu.[emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Hapa pia Mahakama zinaichanganya TANESCO- Mahakama yetu iliipa PAP UMILIKI baada ya kuwa imemalizazana na Rugemarila kuwa ndo mmiliki halali wa IPTL, Bahati mbaya TANESCO wakawa washailipa PAP pesa yote bila hata kusubiri kesi yao walioshinda kwenye capacity charge.
Leo hii ICSID ime rule out kuwa mmilikiwa IPTL ni standard SBC-HK, kwakuwa TANESCO washaomlipa pesa zote PAP, kwanini PAP asirudishe hizo hele akapewa SCB-HK, kwanii TANESCO ilipe tena wakati ilishalipa? sijaliona tatizo la TANESCO-Mambo nani mmiliki wa IPTL hayaihusu TANESCO. Makosa makubwa ya TANESCO ni mawili. i kuwahi kulipipa PAP kabla hata ya kusubiri hukumu juu ya capacity charge na la pili ii. Kutosubiria mgogoro wa umiliki wa IPTL iliijue exactly inamlipa mmiliki halali
 
Nataka kujua IPTL ni nani? nani mwanzilishi wa hii company? maana tunaelewa IPTL= 30% VIP (Kamanda rugemalila)+ 70% IPTL ( ambao hawajulikani), inakuaje tunatambua tu 30% ya umiliki wa share ya VIP na hatumtambui mweye 70%? tukishamtambua mmiliki halali wa IPTL ndo tutajua picha kamili ya huu ufisadi, maana hatuwezi tu kusema PAP ni mmiliki halali aliyenunua IPTL baada ya wabia hao kupatana, na mahakama ya Zimamoto ya Tanzania haimtaji IPTL inamilikiwa na nani?, inawezekana IPTL mwenye 70% ndo huyo huyo PAP anachofanya anabadili jina tu, bure kabisa.
 
Maazimio ya bunge kuhusu ESCROW mpaka leo serikali haija yafanyia kazi. TUTAPIGWA SANA.
 
IPTL inaonyesha kwa Mara ya kwanza iliingia nchini mwaka 1994 wakati huo Rais akiwa Mwinyi!!
Ikaendelea kwa Mkapa ingawa imekuja kuanza kuwa Kansa ndani ya utawala wa Kikwete!!

Walionyuma ya IPTL ni watu wengi sana ila nashauri Rais Magufuli angewahoji
Marais wastaafu kwanza
Mawaziri wakuu waliopita
Mawaziri wa nishati waliopita
Mawaziri wa fedha waliopita
Wanasheria wakuu wa Serikali waliopita!!
Na magavana wa benki kuu waliopita !!

Bila kufukua makaburi tutaendelea kusubiri sana!!
Hii kitu inaonyesha kikwete alikuwa waziri wa nisharti mwaka 1994 na hapo ndipo tuanzie!!
 
Maazimio ya bunge kuhusu ESCROW mpaka leo serikali haija yafanyia kazi. TUTAPIGWA SANA.
Hivi inakuwaje kiutaratibu pale serikali inapokaidi maamuzi ya bunge Kwa nchi zinazoheshimu taratibu kanuni na sheria anyway
 
Back
Top Bottom