Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

Wakuu, Natamani kuanza kwa kulia ila naona chozi langu halitakuwa na faida zaidi ya kujenga hoja na kuwaomba Wabunge wetu wawe wakali kweli kweli kwa hili !!!!??. Wadau kila mmoja sehemu alipo achangia hapa kwa wingi ni umoja wetu bila kujali itikadi za vyama vyetu!!!??. Wizi wa ESCROW hakuna asiyeujua, bunge liliendeshwa hadi usiku wa manane na wakafikia maadhimio Fulani, Serikali ikayatupa kapuni sasa Mungu alivyomwema amewaumbua wale woooote waliobariki ule kukwapuaji wa hela.


Kama wewe ni mbuge changia hapa kwamba utafanya nini ukiwa mjengoni kwa hili?, kumbuka wewe ni sauti ya wengi waliokuchagua, usichangie kwa hasira bali ibane serikali itoe majibu sahihi kwa hili.
Asante, natumaini tutaishauri serikali pamoja.
 
"tunanena tunayoyajua,na tunashuhudia tusiyoyafahamu"..ya gizani yote yatatolewa.
 
Wale wehu wa Lumumba kwenye thread kama hii inayo husu mjadala mkubwa kuhusu maslai mapana ya taifa wao hawatii mguu.....ila kwenye porojo ndio wanajitokeza.
 
Chadema wameitia hasara serikali. Hii kesi waliikomalia sana
 
Ngoja tuone.
Tunakoelekea tutaanza kula nyasi.
Nchi ya viwanda

TUSIPOMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI KUPIGANA NA HAWA CARTEL. WEZI WA MUCHANA BILA YA HAYA, NA TUSIPOFANYA KAZI KWA BIDII NA UAMINIFU BASI KWELI TUTAANZA KULA NYASI, NA TUKIMALIZA HIZO NYASI TUTAKULA MUCHANGA.
 
Waliofanya makubaliano na mikataba ya namna hiyo ni wasomi wa nchi hii, adhabu yao ni kutaifishwa kila walicho nancho na familia zao, na wanastahili KUNYONGWA hadi kifo.

HAWO NI WASOMI UCHWARA, WANAKULA PANDE ZOTE MBILI. CHENGE YUKO SERIKALINI LAKINI ALIPOKEA PESA ZA ESCROW, WATANZANIA TUNA SHIDA, WALE TUNAOWAAMINI NDIYO WANAOTUUZA. AMENUFAIKA KWENYE UNUNZI WA RADA, AKASTEP DOWN WATANZANIA TUKASAHAU AKAENDELEA NA MADARAKA. AMELIPUA TENA ESCROW, NA BADO YUKO SERIKALINI. KWENYE NCHI ZINAZOCHUJA VIONGOZI WAKE CHENGE ASINGERUHUSIWA KUWA KIONGOZI BALI ANGEKUWA JELA JELA, LAKINI ANA POWER YA PESA KUWANUNUWA MASIKINI NA NA SASA YUPO BUNGENI NA BADO KESI YA ESCROW INAYOMUKABILI IPO KORTINI . UKIMUGUSA ANA PESA ZA KUAJIRI MAWAKILI ZAIDI YA 10 KUMUWAKILISHA, ANATUTESA KWA PESA ZETU WENYEWE. NI WENGI BADO WAKO SERIKALINI KAMA CHENGE, SI YEYE PEKE YAKE. MATAJIRI WA KUTUPA, PESA AMBAZO HAWAWEZI KUELEZA WAMEZIPATA WAPI. RAIS MAGUFULI AKITAKA KUWAOKOWA WATANZANIA LAZIMA TUMUUNGE MKONO AFUMBE MACHO ANG'OWE MIZIZI YA HAWA WATU, KWA SASA ANAKATA MATAWI TU.
 
Mods, tafadhali tuwekee hiyo hukumu ya ICSID hapa ili kila mtu ajisomee mwenyewe (badala ya kusoma second-hand sources na kudanganyana).
 
Hivi mpaka sasa makachero hawajapewa kazi. Hapa hakuna jukwaa ila mkakati wa kutuokoa na hili janga. Biashara ya tom and jerry tuweke pembeni. Hapa hata kama hii pesa italipwa lakini lazima watu waadhibiwe. Waliomdhalilisha judge libuva sasa hivi wapelekwe kwa judge kaganda, hawa ni viongozi hawawezi kupokea hela hawajui chimbuko lake, waache kujifua ufahamu na kufanya watanzania wajinga.
Walisema hiyo fedha siyo yetu, mbona tumeagizwa tulipe
Namkumbuka sana Sokoine Edward jamani.
Mungu amlaze mahali pema peponi.
Chonde chonde busara itumike.
 
TUSIPOMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI KUPIGANA NA HAWA CARTEL. WESI WA MUCHANA BILA YA HAYA, NA TUSIPOFANYA KAZI KWA BIDII NA UAMINIFU BASI KWELI TUTAANZA KULA NYASI, NA TUKIMALIZA HIZO NYASI TUTAKULA MUCHANGA.
Kweli. Ndiyo maana alisimamisha ajira mpya ili watu wakafanye kazi.
Ngoja tupige kazi bac. Si unajua hapa kazi tu ndiyo habari ya mjini.
 
Wakuu, Natamani kuanza kwa kulia ila naona chozi langu halitakuwa na faida zaidi ya kujenga hoja na kuwaomba Wabunge wetu wawe wakali kweli kweli kwa hili !!!!??. Wadau kila mmoja sehemu alipo achangia hapa kwa wingi ni umoja wetu bila kujali itikadi za vyama vyetu!!!??. Wizi wa ESCROW hakuna asiyeujua, bunge liliendeshwa hadi usiku wa manane na wakafikia maadhimio Fulani, Serikali ikayatupa kapuni sasa Mungu alivyomwema amewaumbua wale woooote waliobariki ule kukwapuaji wa hela.


Kama wewe ni mbuge changia hapa kwamba utafanya nini ukiwa mjengoni kwa hili?, kumbuka wewe ni sauti ya wengi waliokuchagua, usichangie kwa hasira bali ibane serikali itoe majibu sahihi kwa hili.
Asante, natumaini tutaishauri serikali pamoja.

BUNGENI KUMEJAA WALAJI. WALIOPOKEA PESA ZA ESCROW WAMO BUNGENI, WALIAMBIWA WAKAE PEMBENI KIKAZI, LAKINI BADO WANAWAWAKILISHA WATU AMBAO PESA ZAO ZIMEIBIWA NA WAO WAMEPOKEA MUGAO. KATIBA YETU LAZIMA IBADILISHWE KUWAOKOWA WALIO WENGI KUTOKA KWA HAWA CARTEL. UKIWA NA KESI YA HUJUMU AMA KUHUSIKA NA KUPOKEA PESA ZA UMA KWA NJIA YA WIZI NA UKIAMULIWA UKAE PEMBENI LAZIMA NA BUNGENI UTOKE AMA SIVYO UNAWEZA KUVURUGA KESI INAYOKUKABILI. HAKUNA MAANA YA MTU KUONDOLEWA MADARAKANI KWAAJIRI YA KUHUSIKA NA MALI YA UMMA KISHA UNABAKIA MBUNGENI KUPOEKEA NA KUTOWA MAONI, HII NI KUWAFANYA WATANZANIA WAJINGA. CHENGE NA TIBAIJUKA NA WALE WOTE AMBAO WAKO MBUNGENI, KWA SASA IMEJULIKANA PESA WALIZOPOKEA WATANZANIA LAZIMA WAZILIPE INABIDI WARUDISHE PESA HIZI HARAKA NA WAACHIE MADARAKA. KUKAA KWAO MBUNGENI NA KUPAZA SAUTI ZAO NI KUWAITA WATANZANIA WAJINGA.
 
Ni upepo tu....tutalipa na litapita. FANYA KAZI CHANGIA TAIFA PATO LA KULIPA DENI HILO

RAIS KIKWETE ASIKAE KIMYA ATOKE KWENYE JUKWAA AWAELEZEE WATANZANIA, KWA KUWA ALITUAMBIA PESA ZA ESCROW SIYO ZETU. TUNALIA NA SHIDA RAIS MSTAAFU MBONA ALISHINDWA KUWACHUKULIA HAWA WATU HATUA? AMEMUACHIA RAIS MAGUFULI NCHI INA MADENI KILA PEMBE NA WANACHI WALIA MAISHA MAGUMU LAWAMA ZOTE ZINAMWANGUKIA YEYE, AWAELEZE WANANCHI UKWELI.
 
Mi hata nashindwa nianzie wapi kuwazua alieitwa tumbili Leo ndo shujaa Wa taifa ivi nyie mlokuwa mkitoa mapovu kuwa hela si ya umma mnajisikiaje?
 
Tanzania nchi yangu.....sie tumekutwa na nin .......pesaa hii nomaa sanaaa
 
RAIS KIKWETE ASIKAE KIMYA ATOKE KWENYE JUKWAA AWAELEZEE WATANZANIA, KWA KUWA ALITUAMBIA PESA ZA ESCROW SIYO ZETU. TUNALIA NA SHIDA RAIS MSTAAFU MBONA ALISHINDWA KUWACHUKULIWA HAWA WATU HATUA? AMEMUACHIA RAIS MAGUFULI NCHI INA MADENI KILA PEMBE NA WANACHI WALIA MAISHA MAGUMU LAWAMA ZOTE ZINAMWANGUKIA YEYE, AWAELEZE WANANCHI UKWELI.
 
Back
Top Bottom