Tego la usinga; uchawi uliotoweka

Tego la usinga; uchawi uliotoweka

Udanganyifu katika mahusiano ni kitu kikongwe na kinachopigwa vita duniani kote watu kwa maelfu wamepoteza maisha kutokana na ishu za Udanganyifu wivu na kufumaniwa au kufumaniana

Kwa wasambaa kulikuwa na tego moja maarufu sana TEGO LA USINGA tego hili ni baya na lenye nguvu sana ambalo lilitegwa kwenye mapaja ya mwanamke kwa kujulishwa au kwa kutojulishwa

Test yake kama tego linafanya kazi mwanamke angewekewa kipande cha chuma au kisu au panga na kuambiwa akiruke, ambapo kitu hicho kingekatika vipande viwili , kwahiyo hapa mwanamke hana ujanja na anajua fika kinachoendelea

Kwa wale wanawake ambao hawajulishwi ila wana mashaka basi huchukua panga au kitu chochote cha chuma na kukiruka!kikikatika tu anajua hali halisi anatulia. Bahati mbaya sana kuna baadhi ya wanaume huwa hawawaambii wake zao kile walichokifanya na wanawake nao wengine huwa hawana machale na hivyo kusababisha maafa.

Mwanamke mwenye tego la usinga akiingiliwa na mwanaume mwingine yule mwanaume hupigwa na kitu kama shoti na baada ya hapo huanza kuumwa tumbo ambapo hawezi kumaliza masaa sita hufariki huku uume ukiwa umesimama ndii

Usinga si kitu chema kwakuwa hauna dawa na mwanamke hatakiwi kuwa na mtoto mdogo wa kiume ambaye atambeba mara kwa mara
Huu ndio usinga tego baya kabisa enzi hizo usambaani...!

Bahati mbaya wataalam wake wamekufa na ujuzi huo bila kuurithisha kwa yeyote
Ipo ya kunasana nyuchi mkuu.
Tego lake tunatumia mbwa wanaofanya mapenzi wamenasana tunawaua kabla hawajaachana kisha tunakata nyeti zikiwa zimeshikana vile vile na kuzikauksha na kuzisaga pamoja in form of powder.
Material mengine ni kisu cha ala kile unachomeka na kuchomoa na mengineyo.

Unakichomoa kinakuwa separately unaweka dawa ndani ya ala then mke unamwambia akuletee ambapo obviously lazima achomeke mwenyewe kisu ndani ya ala na hapo anakuwa kajimaliza mwenyewe .
Wewe ukipokea unaweza ficha popote asione mtu na huruhusiwi kuchomoa ila since akifanya mapenzi na mwanaume mwingine nikunasana kama mbwa kuwatenganisha mpaka uchomoe kisu ulikoficha ndani ya ala ndo wanaachana.

Ukichelewa sana wanakufa kabisa wote. Haya mambo yapo ila wewe unapotaka kutengeneza kwa ajili ya vijana wa leo ujue utaua watu wote maana kila mtu mzinzi hivyo tafakari kabla ya maamzi.

Usibebe hiyo fomula ukadhani imeisha hapo kuna steps na terms and condition za kufuata.
 
Ipo ya kunasana nyuchi mkuu.
Tego lake tunatumia mbwa wanaofanya mapenzi wamenasana tunawaua kabla hawajaachana kisha tunakata nyeti zikiwa zimeshikana vile vile na kuzikauksha na kuzisaga pamoja in form of powder.
Material mengine ni kisu cha ala kile unachomeka na kuchomoa na mengineyo.

Unakichomoa kinakuwa separately unaweka dawa ndani ya ala then mke unamwambia akuletee ambapo obviously lazima achomeke mwenyewe kisu ndani ya ala na hapo anakuwa kajimaliza mwenyewe .
Wewe ukipokea unaweza ficha popote asione mtu na huruhusiwi kuchomoa ila since akifanya mapenzi na mwanaume mwingine nikunasana kama mbwa kuwatenganisha mpaka uchomoe kisu ulikoficha ndani ya ala ndo wanaachana.

Ukichelewa sana wanakufa kabisa wote. Haya mambo yapo ila wewe unapotaka kutengeneza kwa ajili ya vijana wa leo ujue utaua watu wote maana kila mtu mzinzi hivyo tafakari kabla ya maamzi.

Usibebe hiyo fomula ukadhani imeisha hapo kuna steps na terms and condition za kufuata.
Ukichelewa sana wanakufa kabisa wote. Haya mambo yapo ila wewe unapotaka kutengeneza kwa ajili ya vijana wa leo ujue utaua watu wote maana kila mtu mzinzi hivyo tafakari kabla ya maamzi.[emoji23]
 
Mimi nina ujuwa mtego wa kumfunga mwanamke akichepuka yule mwanamme anaye chepuka nae uume wake unakufa hauwezi kuingia ndani ya Papuchi. Na mtego mwengine mke akichepuka na Mwanamme basi yule mwanamme anakufa lakini sifanyi kabisa ni dhambi kwa Mungu. Na vifungo vingi vya kuwafunga wake zetu wasiweze kuchepuka pasipo na madhara ninavijuwa. Kumuinamisha mke kwa mume au mume malaya kumtuliza awe kama kondoo kwa mke wake vyote hivyo ninavijuwa.
Uwe tayari kupokea watu huko pm wake kwa waume.
 
Udanganyifu katika mahusiano ni kitu kikongwe na kinachopigwa vita duniani kote watu kwa maelfu wamepoteza maisha kutokana na ishu za Udanganyifu wivu na kufumaniwa au kufumaniana

Kwa wasambaa kulikuwa na tego moja maarufu sana TEGO LA USINGA tego hili ni baya na lenye nguvu sana ambalo lilitegwa kwenye mapaja ya mwanamke kwa kujulishwa au kwa kutojulishwa

Test yake kama tego linafanya kazi mwanamke angewekewa kipande cha chuma au kisu au panga na kuambiwa akiruke, ambapo kitu hicho kingekatika vipande viwili , kwahiyo hapa mwanamke hana ujanja na anajua fika kinachoendelea

Kwa wale wanawake ambao hawajulishwi ila wana mashaka basi huchukua panga au kitu chochote cha chuma na kukiruka!kikikatika tu anajua hali halisi anatulia. Bahati mbaya sana kuna baadhi ya wanaume huwa hawawaambii wake zao kile walichokifanya na wanawake nao wengine huwa hawana machale na hivyo kusababisha maafa.

Mwanamke mwenye tego la usinga akiingiliwa na mwanaume mwingine yule mwanaume hupigwa na kitu kama shoti na baada ya hapo huanza kuumwa tumbo ambapo hawezi kumaliza masaa sita hufariki huku uume ukiwa umesimama ndii

Usinga si kitu chema kwakuwa hauna dawa na mwanamke hatakiwi kuwa na mtoto mdogo wa kiume ambaye atambeba mara kwa mara
Huu ndio usinga tego baya kabisa enzi hizo usambaani...!

Bahati mbaya wataalam wake wamekufa na ujuzi huo bila kuurithisha kwa yeyote
Usinga upo mpaka leo
 
Duh pale kati noma! Mtu yupo dhadhi apalinde kwa uchawi hata mtu akifa poa tu! Ila je damu ya yule aliekufa itakua juu ya nani? Yake mwenyewe au ya mke au ya yule mume aliemuwekea mkewe tego! Ooh japo mshahara wa dhambi ni mauti!
Mwizi akiuawa damu ya mwizi inakuwa juu ya nani?
 
Back
Top Bottom