Tego la usinga; uchawi uliotoweka

Ipo ya kunasana nyuchi mkuu.
Tego lake tunatumia mbwa wanaofanya mapenzi wamenasana tunawaua kabla hawajaachana kisha tunakata nyeti zikiwa zimeshikana vile vile na kuzikauksha na kuzisaga pamoja in form of powder.
Material mengine ni kisu cha ala kile unachomeka na kuchomoa na mengineyo.

Unakichomoa kinakuwa separately unaweka dawa ndani ya ala then mke unamwambia akuletee ambapo obviously lazima achomeke mwenyewe kisu ndani ya ala na hapo anakuwa kajimaliza mwenyewe .
Wewe ukipokea unaweza ficha popote asione mtu na huruhusiwi kuchomoa ila since akifanya mapenzi na mwanaume mwingine nikunasana kama mbwa kuwatenganisha mpaka uchomoe kisu ulikoficha ndani ya ala ndo wanaachana.

Ukichelewa sana wanakufa kabisa wote. Haya mambo yapo ila wewe unapotaka kutengeneza kwa ajili ya vijana wa leo ujue utaua watu wote maana kila mtu mzinzi hivyo tafakari kabla ya maamzi.

Usibebe hiyo fomula ukadhani imeisha hapo kuna steps na terms and condition za kufuata.
 
Ukichelewa sana wanakufa kabisa wote. Haya mambo yapo ila wewe unapotaka kutengeneza kwa ajili ya vijana wa leo ujue utaua watu wote maana kila mtu mzinzi hivyo tafakari kabla ya maamzi.[emoji23]
 
Uwe tayari kupokea watu huko pm wake kwa waume.
 
Usinga upo mpaka leo
 
Duh pale kati noma! Mtu yupo dhadhi apalinde kwa uchawi hata mtu akifa poa tu! Ila je damu ya yule aliekufa itakua juu ya nani? Yake mwenyewe au ya mke au ya yule mume aliemuwekea mkewe tego! Ooh japo mshahara wa dhambi ni mauti!
Mwizi akiuawa damu ya mwizi inakuwa juu ya nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…