johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Naskia kabendera ameandika eti Magufuli alienda kitandani kwa samia na pensi, daah πππHuku ni kabendera
WanajisumbuaNaskia kabendera ameandika eti Magufuli alienda kitandani kwa samia na pensi, daah πππ
Wananchi wamelalamiki? Simbilisi wahed πΌlioneni hili mbumbumbu yani inamaana wanao tekwa hapa Tanzania na kuuwawa ni mifugo ?
Walalamike mara ngapi? Mara ngapi wanalalamika na vyombo vya habari vinatangaza Au unajitoa ufahamuWananchi wamelalamiki? Simbilisi wahed πΌ
Umewaona Kenya wanavyolalamika Lakini?Walalamike mara ngapi? Mara ngapi wanalalamika na vyombo vya habari vinatangaza Au unajitoa ufahamu
Haahaa!!Naskia kabendera ameandika eti Magufuli alienda kitandani kwa samia na pensi, daah πππ
Hamna tofauti, wametekwa wamepotea, wakenya wametoka kwa road wana pambania, while wabongo wamelalaUmewaona Kenya wanavyolalamika Lakini?
Hawasemi Fulani alipigwa Risasi ya kichwa na Fulani bali dizaini ya akina Soka wanatafutwa usiku na mchana π
Yaani hujasikia kuwa maiti za vijana zinaokotwa huko kwa nyang'au?π...Hiyo ndio tofauti, wana udhubutu wa kuibana mamlaka
Point πTz ujinga mwingi sana wanajadili mtu aliekufa badala waijadili kesho yao