Storm shadow
Senior Member
- Jul 5, 2019
- 167
- 132
πππ l love itHahahaha Iz Fcukin' Trey way King of New York.
Unamzungumzia XXX Tentacion mzee wa Moonlight,Changes,Sad,Daah R.I.P to dis talented NiccahBado yule dogo mwingine ambaye walikuwa wanapifu nae kajichora km yy,, Tripple
Hahah hatari sana kitu kinaitwa Fefe icho.Γ Β½ΓΒΈΓ Β½ΓΒΈΓ Β½ΓΒΈ l love it
6ix9ine:it's fuckin trey way,king of new York looking for the queen
Nicki minaj:ahhh you got a right one,le..le..let bi..bi..bitch know niggah
Naam, wazee wa kuumiza ndonga.Aaah wewe ata sikushangai Bablai coz hupendagi trap music At all,Wewe tuongelee kina Pusha T,Lil Wayne,Slim Shady,Kendrick Lamar ndo tunaenda Yechu.
trippie redd na tekash bado hawako vizuri hata baada ya kukamatwa tekashi,trippie alionekana kufurahiaBado yule dogo mwingine ambaye walikuwa wanapifu nae kajichora km yy,, Tripple
Dunia inaenda speed sana. Yaani katika uzi huu wote nilichoambulia hapa ni 50 Cent na R. Kelly tu basi.
Yaani unazidi kuniacha gizani.Mtu kama Asap Rocky anafanya tumsahau 50
Acha izo mamii,,Unafeli parefu sana ujue!!Je kama niwewe??Kama ndiye huyu wamuongezee na kumi iwe 57
Lile dude Stoopid achana nalo ni kali sana..Tatizo ana'act uhuni akati ni mlaini kama kina Lil Pump tu!Napendaga ule wimbo wake stoopid', huyu dogo msela mavi kweli[emoji3]
Mzee kuna taarifa zmesema mshkaj kakataa ishu ya witness protectionHuenda dunia ya muziki ikampoteza kabisa rapper 6ix9ine, Imeripotiwa kuwa baada ya kutoa ushahidi Mahakamani dhidi ya kundi lake la "Nine Trey Gang" ataingia kwenye utaratibu maalumu wa kulindwa na serikali baada ya kutoa ushahidi (Witness protection) kwa kuhofia maisha yake.
.
6ix9ine akiwa chini ya utaratibu huo atalazimika kubadilisha kila kitu kwenye maisha yake ikiwemo kazi, jina, mahali pa kuishi na vitu vingine, Pia atalazimika kubadilisha muonekano wake ikiwemo kuzitoa nywele zake maarufu za rangirangi na kufuta tattoo za usoni na vyote vitaghramikiwa na waendesha mashtaka.
.
Kabla ya kukubali kushirikiana na waendesha mashtaka #6ix9ine alikuwa anatazamia kifungo cha miaka hadi 49.
CREDIT: Wasafifm
Hao Mablack wapumbavu nini?
Nani afungwe miaka 47 kisa masela?
Ungese kama huo unafanywa na mafala tuu
Huo ndo ubaharia sasa.ukienda kinyume wewe msela mavi.
mi naielewa ile Tic Toc yuko na Lil BabyLile dude Stoopid achana nalo ni kali sana..Tatizo ana'act uhuni akati ni mlaini kama kina Lil Pump tu!