kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,080
- 4,914
ndio ni kweli ni baba ykeHuyu binti nasikia ni mtoto wa rahisi wa tiefuefu. Sijui huwa ni kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio ni kweli ni baba ykeHuyu binti nasikia ni mtoto wa rahisi wa tiefuefu. Sijui huwa ni kweli.
HahahahaUkisikia mtu anajiita Tekno ujue huyo katoka bush juzi juzi. Angekuja miaka kumi iliyopita angejiita Nokia ya tochi
Nachukizwa Sana Na hizi mada! Hakuna vitu vya kuzungumza?Tekno kwa Diva: Wewe ni msichana Mrembo kwanini huna mpenzi? Sikiliza mahojiano yao ya ku... Tekno kwa Diva: Wewe ni msichana mrembo kwanini huna mpenzi?â Sikiliza mahojiano yao ya kuvutia hapa (Audio) Bongo5.com bongo5.com on Twitter
View attachment 293739
Gk demu wako sijui Ex wako yuko huku JF anajipa Promo...Eti hana mchumba ngoja tumstiri kwa leoTekno kwa Diva: Wewe ni msichana Mrembo kwanini huna mpenzi? Sikiliza mahojiano yao ya ku... Tekno kwa Diva: Wewe ni msichana mrembo kwanini huna mpenzi?â Sikiliza mahojiano yao ya kuvutia hapa (Audio) Bongo5.com bongo5.com on Twitter
View attachment 293739
Nenda jukwaa la siasa.Nachukizwa Sana Na hizi mada! Hakuna vitu vya kuzungumza?
Muingiliano wa majina muungwana.Kwa hiyo umejianzishia mada.!
Vitu vingine utoto mtupu japo wenyewe wanaona wameongea vitu vya maana sanaKina nani hao?
Za zimbabwe alimaanisha labla! Kwani k yake imelipiwa insurance
wachezaji wapya wa YangaKina nani hao?
unamuoa au unamnunua?!nilishawahi msikia akisema kua mwanaume anayetaka muoa ampe million 200
aangalie asijekua kama madonna
nilishawahi msikia akisema kua mwanaume anayetaka muoa ampe million 200
aangalie asijekua kama madonna