Teknologia ya gene cloning na gene editing inapaswa iwe muarobaini wa kupambana na HIV

Teknologia ya gene cloning na gene editing inapaswa iwe muarobaini wa kupambana na HIV

KHM 1995

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
461
Reaction score
729
Teknolojia katika field ya afya ni msingi katika muktadha wa afya ya kiumbe chochote kilicho hai hasa binadamu tutakaye mzungumzia zaidi.

HIV ni janga duniani lakini inapaswa tufahamu teknolojia ndio itayoleta mwanga wa kupambana na hiki kirusi, lakini kuna baadhi ya wanyama kirusi hakiwezi kuwaletea athari yoyote kutokana kinakuwa specific katika specific cell, kwa maana HIV anakuwa targeted, anatumia CCR5 receptor na CD4 receptor kwenda kuattack kinga za mwili, ili akaji multiply.

Now solution ni kumdhibiti afeli kutumia udhaifu wa CCR5 na CD4 receptor kama njia ya kushambulia kinga za mwili, eidha tubalishe shepu na muundo wa hizi receptor aweze kufeli kupita, na kama tunavyo fahamu genetic code inafanana kwa viumbe vyote, hapa tunasolution ya kutumia elimu ya biotechnology hasa katika field ya gene cloning.

Lakini itabidi tutafuta species ambaye hawezi kuwa infected with HIV,lakin kuna wanyama kama ng'ombe hawezi kuwa infected ,kwahiyo technically tutafanya gene extraction specifically kwa ile inayohusika na expression ya receptors za CCR5 na CD4,baada ya hapo itabidi tufanye gene cloning, baada ya hapo ,itabidi tucheze na genome ya binadamu,tufanye gene deletion tufute ile inayofanya expression ya receptor za CCR5 na CD4, then tuinsert gene tuliyo extract kwa ng'ombe kwenye DNA sequence ya binadamu,surely dunia lazima ishinde,tunaamini kile kinachaofanya huyu virus afeli kuleta infection kwa ng'ombe ni shepu na muundo wa receptor za CCR5 na CD4 kuwa tofauti kabisa na zile za binadamu kwa hiyo anakuwa hana uwezo wa kuweza kujibind kwenye hizo receptors
 
Inabidi kuwe na trials za kutosha na regulation kali kuzuia unintended consequences.

Kuna Science Fiction story moja, nafikiri ni ya Arthur C Clarke, anaongelea watu wamepata dawa ya "the common cold", (mafua ambayo kihalisia mpaka leo hayana dawa).

Sasa wake watu walivyopata hiyo dawa wakafurahi sana. Wakaanza kuitumia. Ukiitumia tu hupati mafua tena.

Baadaye, wale watu waliotumia dawa hiyo, wakajikuta wanapoteza sense of smell. Wanakuwa hawawezi kunusa.

Tatizo lilitokea baada ya watu kutumia dawa bila kufanya yrials za kutosha.

Kwa hiyo, kufanya majaribio ya kutosha ni kitu muhimu sana.
 
Umesoma course Gani mkuu
Ninaco
Inabidi kuwe na trials za kutosha na regulation kali kuzuia unintended consequences.

Kuna Science Fiction story moja, nafikiri ni ya Arthur C Clarke, anaongelea watu wamepata dawa ya "the common cold", (mafua ambayo kihalisia mpaka leo hayana dawa).

Sasa wake watu walivyopata hiyo dawa wakafurahi sana. Wakaanza kuitumia. Ukiitumia tu hupati mafua tena.

Baadaye, wale watu waliotumia dawa hiyo, wakajikuta wanapoteza sense of smell. Wanakuwa hawawezi kunusa.

Tatizo lilitokea baada ya watu kutumia dawa bila kufanya yrials za kutosha.

Kwa hiyo, kufanya majaribio ya kutosha ni kitu muhimu sana.
Kweli mkuu trials za kutosha zinahitajika ili kuepusha athari hasi za mabadiliko ya vinasaba vya binadamu,trials hizi zinabidi kufanywa kwa wanyama ambao pia wanakuwa infected na hiki kirusi
 
Naomba wadau na mashirika ya afya eidha ya kitaifa au mataifa tufanye tafiti hii ,surely inafanya kazi kiufanisi lakin tu tusiathiri vinasaba vya binadamu
 
Moderator naomba heading ikolezwe(iwebold)
 
Baada ya Tikiti bila mbegu mnataka wazalishwe na Binadamu bila Orcheis.
Haitakuwa na athari yoyote maana tutatarget na gene inayohusika na expression ya receptors za CCR5 na CD4,pia kutakuwa na trial za kutosha kabla ya kuidhinishwa kwa matumizi ya binadamu,kwa kifupi hakutakuwa na athari hasi kwa vinasaba vya binadamu,tukubali teknologia hii
 
Unafikiri wazungu wanakosa dawa ya NGOMA? Usanii tu wa kuendelea kupiga PESA.
 
Teknolojia katika field ya afya ni msingi katika muktadha wa afya ya kiumbe chochote kilicho hai hasa binadamu tutakaye mzungumzia zaidi.

HIV ni janga duniani lakini inapaswa tufahamu teknolojia ndio itayoleta mwanga wa kupambana na hiki kirusi, lakini kuna baadhi ya wanyama kirusi hakiwezi kuwaletea athari yoyote kutokana kinakuwa specific katika specific cell, kwa maana HIV anakuwa targeted, anatumia CCR5 receptor na CD4 receptor kwenda kuattack kinga za mwili, ili akaji multiply.

Now solution ni kumdhibiti afeli kutumia udhaifu wa CCR5 na CD4 receptor kama njia ya kushambulia kinga za mwili, eidha tubalishe shepu na muundo wa hizi receptor aweze kufeli kupita, na kama tunavyo fahamu genetic code inafanana kwa viumbe vyote, hapa tunasolution ya kutumia elimu ya biotechnology hasa katika field ya gene cloning.

Lakini itabidi tutafuta species ambaye hawezi kuwa infected with HIV,lakin kuna wanyama kama ng'ombe hawezi kuwa infected ,kwahiyo technically tutafanya gene extraction specifically kwa ile inayohusika na expression ya receptors za CCR5 na CD4,baada ya hapo itabidi tufanye gene cloning, baada ya hapo ,itabidi tucheze na genome ya binadamu,tufanye gene deletion tufute ile inayofanya expression ya receptor za CCR5 na CD4, then tuinsert gene tuliyo extract kwa ng'ombe kwenye DNA sequence ya binadamu,surely dunia lazima ishinde,tunaamini kile kinachaofanya huyu virus afeli kuleta infection kwa ng'ombe ni shepu na muundo wa receptor za CCR5 na CD4 kuwa tofauti kabisa na zile za binadamu kwa hiyo anakuwa hana uwezo wa kuweza kujibind kwenye hizo receptors
Ni sawa ila nitaomba kusahihishwa. Je, ukiibadili CD4 ni nini madhara yake kwa binadamu? Ninavyoelewa CD4 ina kazi nyingi mwilini.
 

ARCUS Genome Editing​



At Precision BioSciences we are using our novel ARCUS genome editing
technology to develop a new class of medicines designed to overcome and
potentially cure, hard-to-treat conditions including rare genetic diseases.
ARCUS is a novel and proprietary genome editing platform discovered and developed by scientists at Precision BioSciences. ARCUS uses sequence- specific DNA-cutting enzymes, or nucleases, to insert (knock in), remove (knockout), or repair the DNA of living cells and tissues.
Learn more about ARCUS Genome Editing ›

 
Back
Top Bottom