Teknolojia inaonyesha wazi hakuna offside, Tukubali yaishe Yanga wamepata ushindi kihalali

Teknolojia inaonyesha wazi hakuna offside, Tukubali yaishe Yanga wamepata ushindi kihalali

Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.

23. 5imba SC.
JamiiForums1683832807.jpg
 
Teknolojia ni ile ya masandawana tyuuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.

23. 5imba SC.View attachment 2969380
Umesahau kolouzdad

Sent from my OPPO A83 using JamiiForums mobile app
 
Arajiga 2 Simba 1
Huwa napenda sana Arajiga kuchezesha mechi za Yanga sababu huchezesha kwa haki bin haki kwa vile yeye ni Yanga dam uto hatuonewi, sasa achezeshe Tatu yeye ni simba na anainyonga Yanga laivu, mara atoe kona haram, mara simba wapige kona Kabla hajaruhusu mara aruhusu rafu nyingi za simba bila kuwapa kadi, ili mradi fujo na upendeleo tupu!!

Tuambie ni tukio gani jana Arajiga aliipendelea Yanga? Je hukuona Chama alistahili Red Card kwa kumkanyaga kwa makusudi Kibabage kidogo amvunje mguu?

Acha umbumbumbu tumewakanda ndani nje sababu ya uwezo usimchafue refa.
 
Back
Top Bottom