Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee kweli KOLOArajiga 2 Simba 1
Unaonaje msimu ujao tukiandamana mpaka kwa walezi wetu waliojazana pale Tff na pia Bodi ya ligi, ili kuwashinikiza mechi zetu zote za simba achezeshe Tatu Malogo?Arajiga 2 Simba 1
Sahihi nimekumbuka goli alifunga mchezaji mmoja wa ac Milan UEFA enzi za Gatuso
Umesahau kolouzdadSisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Masandakolozidad SC.
23. 5imba SC.View attachment 2969380
Sasa hivi TFF Kuna msomali na yanga msomali wanazungumzia lugha mojaUnaonaje msimu ujao tukiandamana mpaka kwa walezi wetu waliojazana pale Tff na pia Bodi ya ligi, ili kuwashinikiza mechi zetu zote za simba achezeshe Tatu Malogo?
Kuna yeyote aliyelalamikia hilo goli?
Hata yanga msimu ujao mchague marefa kwenye mechi zenu zote ili barua zisiende caf na fifaUnaonaje msimu ujao tukiandamana mpaka kwa walezi wetu waliojazana pale Tff na pia Bodi ya ligi, ili kuwashinikiza mechi zetu zote za simba achezeshe Tatu Malogo?
Hata Mimi nashangaa. Labda Fumbo Khan kule X na akili zake za kiGPA.Kuna yeyote aliyelalamikia hilo goli?
Huwa napenda sana Arajiga kuchezesha mechi za Yanga sababu huchezesha kwa haki bin haki kwa vile yeye ni Yanga dam uto hatuonewi, sasa achezeshe Tatu yeye ni simba na anainyonga Yanga laivu, mara atoe kona haram, mara simba wapige kona Kabla hajaruhusu mara aruhusu rafu nyingi za simba bila kuwapa kadi, ili mradi fujo na upendeleo tupu!!Arajiga 2 Simba 1