KiuyaJibu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 848
- 191
Nilitegemea kujiandikisha 1. Online (kwa mtandao) na 2. Kwenda kwenye vituo vya kujiandikisha.
Sasa hadi wakati huu wa kupiga kura bado mtu analazimika kwenda mahali alipojiandikisha?!
Kutekelezwa kwa Na. 1, maana yake yote yangefanyika popote mtu alipo bila tatizo lolote; kwa hali ilivyo hadi hivi sasa, waliosafiri na wale walioshindwa kufika kwenye vituo haki yao ya kupiga kura imepotea kirahisiii.
Kama kweli tunajali haki itendeke kuna haja ya kufanya mabadiliko sasa ili 2025 tusije kulaumiana.
Sasa hadi wakati huu wa kupiga kura bado mtu analazimika kwenda mahali alipojiandikisha?!
Kutekelezwa kwa Na. 1, maana yake yote yangefanyika popote mtu alipo bila tatizo lolote; kwa hali ilivyo hadi hivi sasa, waliosafiri na wale walioshindwa kufika kwenye vituo haki yao ya kupiga kura imepotea kirahisiii.
Kama kweli tunajali haki itendeke kuna haja ya kufanya mabadiliko sasa ili 2025 tusije kulaumiana.