#COVID19 Teknolojia ya 5G na Chanzo cha Covid-19: Nadharia Njama (Conspiracy Theory) yenye maswali mengi

The family secret at work
 
Mathew Togolani Mndeme

Mwaka mmoja baadaye, hoja ya 5G na uhusiano wake na Corona haipo tena.
 
Mathanzua
Umeniangusha sana
Nilitegemea nikukute humo unampa za uso msomi wetu wa mlimani
Alitulisha matango bila chumvi
 
RANGI ulizotumia ni mbaya mkuu,badilisha ili tukupe mawazo yetu.Naamini unayojua ni "in the box" not "out of the box."
 
Andunje Gwajima aliwafunga watu kamba sana kwa nadharia uchwara hadi alikuwa anabishana na wataalam.
 
Asante Dr.Mathew kwa taarifa yako.Ila nina angalizo kidogo.Ndio tuwasomi,na hata mimi ni msomi kama wewe,lakini ni lazima tufikiri "out of the box," not "in the box,"nikiwa na maana tufikirie nje ya vi-degree vyetu nk.nk.

Nimegundua Dr.Mathew kitu kimoja,which is pretty bad.Vi-degree hivi ni tools za kutupigia.Wametupa elimu hizi "fake," which suits their purposes,kututumia kama mouthpieces za kusambaza uongo wao which they have fed us during our school years,especially at Universities.This is aimed at making the rest of the people through us believe in their evil and deadly technologies.Techinology kama 5G,ambayo inatumia the millimetre wave spectrum ni deadly.
Tatizo ni kwamba taarifa yako yote umei
toa kwenye sources ambazo ni za hao hao wenye 5G technology,kwa hiyo hawawezi kukuambia ukweli.Believe me, zile Journals ambazo zilikuwa zinaheshimika sana zamani Kama Nature,Lancet,International Journal of Medical Sciences wameshazi-hijack,wana their fake scientists huko who they pay highly.Hawa paid fake scientists wana-publish fake papers to advance the NWO agenda.So don't believe an inch any mainstream publication straight away these days.

Nina attach taarifa mbali mbali from very independent sources ambazo hazijaghoshiwa kuhusu Covid-19,Covid-Vaccines and 5G and it's relationship to Covid-Vaccines.I repeat,ni independent sources hazijaghoshiwa kabisa,so it is authentic information.Zisome,utapata ukweli halisi.Taarifa nyingi za kwao is fake or bad science,infact mimi naziita udaku.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…