Teknolojia ya Digitali ya Startimes na Ting: Kero za watumiaji

Halafu ndio nimenunua vocha hapa ya star times tulionunua mwanzoni mbona clear tu ,hakuna kugomagoma!
 
<br />
<br />inaonyesha hiki kiko vizuri sana!vp kinapatikana mikoa yote?au ni baadhi ya mikoa tu km ilivyo star times na Tin!
 
Startimes ni wezi,wameweka channel za ovyo kabisa,wanazidiwa na cable tv za mikoani,wakienda miji kama Bukoba hawapati kitu,hakuna channel nzuri ya movie,ile MGM zimejaa old skul tu! Hela ikiisha silipi tena !
 
channel kama Emanuel tv,HBO,Star Movies,My tv,Ten sports n.k mbona zingeongeza walau thamani ya kuangalia tv.wachina wametuingiza mkenge hawa.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;inaonyesha hiki kiko vizuri sana!vp kinapatikana mikoa yote?au ni baadhi ya mikoa tu km ilivyo star times na Tin!
<br />
<br />
kinapatikana hapa dar tu
 
Tatizo lenu mnakurupuka then mnatoa lawama za ajabu...wana vipeperushi vinavyoonyesha chanel zilizomo,.kabla ya kununua mngezichunguza kwa waliokua nao kabla ndipo mnunue au la...binafsi nilichunguza huduma zake nikaridhika ndipo nikanunua...sina fav. Chanel lakin napenda baadhi ya vpndi km vile navy seals clas 234(discovery),inside story(aljazeera) na most of reality shows za E!...
 
Pole sana!!unakaa wapi wewe!mimi kwangu haigomi..jana mtv ndio ilikuwa inagoma goma muda wa videos and music awards..leo furesh kabisa.
 
heheeee we acha tuu mi yangu karibiaa natupa huko inagomagoma mara zote<br />
channels za hooovyo wanarudiarudia movies<br />
sibuka na kbc1 zinasauti mbili unaona movie af unasikiliza reggae<br />
stupid zao
<br />
<br />
Kwenye rimonti bonyeza batani ya Track,utaingia kwenye setting ya audio ni rahisi tu!
Tatizo la hawa startimes wameokoteza chanels za bure huko halafu wanatuuzia sie na chanels maana wameshindwa kuzinunua!!
 
Heri mimi napiga Free to air transmision (FTA) katika dish langu la inchi 6
 
Mambo yote DSTV -Extra view wakuu hao wachina kavu sana promo kibao kumbe 0 kabisa
 
<br />
<br />
 
Kitendawili, kulipia hudumu hatutaki lakini huduma bora tunataka!
License za kurusha vipindi vizuri ni gharama jamani, msifikiri unajirushia tu.
 
Mamlaka zipo wapi kuhusu ubora wa picha? Au wachina hawahusiki na TBS? mie changu sikitizami kwani dakika tano tu macho yanaanza kuuma tofauti na Cable TV (CTV) yangu hata Local Channel Na nikienda kwenye Holiday inn kutizama Soccer huwa Fresh Macho hayaumi.

Hata kama wapo bei chini ndio waumize watu macho na pia channel zao zina vipindi vibaya na ni mbaya. Walishawahi kutudanganya Kuwa TBC2 ni ya Sports lakini kila ukichungulia utaona music! nilinunua mwanzoni offer ilipoisha sikuweza lipia tena hadi august 2011 nadhani ndio itakuwa mwisho hadi watakapo ongeza channel za ukweli.

Waboreshe picha na kuongeza channel zenye mvuto sio za sasa hivi ukitizama unasinzia
 
Startimes ni hovyo kabisa sijapata ona,wameokoteza chanel za bure halaf wanatuuzia.chanel ya maana pekee waliyonayo ni discovery.halaf walivyowapuuz watuwekea na channel zinazorusha matangazo kwa kifaransa eg.animax na voxy .nimeamua kutupa kapun kingamuz chao nimenunua dish la inch 6 (FTA) nimefunga LNB kubwa moja 4 local channel na KU(LNB ndoggo) mbili for internation channel nimepata stations 97 pamoja na radio zote za kibongo zilizo kwenye satelite na za nje radio 73 ikiwemo za e.africa.yaani raha tupu.
 
We kwani ulilazimishwa kununua,maana yake wana vipeperushi vyao vinaonesha chanell zote zilizopo. KUKURUPUKA KWAKO(KWENU) KUMEKUPONZA. Holy crap!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…