Teknolojia ya eSim imetukomboa sisi ambao tunamiliki line zaidi ya moja

Teknolojia ya eSim imetukomboa sisi ambao tunamiliki line zaidi ya moja

nyumbani kwenu

Senior Member
Joined
Aug 11, 2020
Posts
152
Reaction score
152
wakuu habar zenu?

Teknolojia ya eSim imetukomboa sisi ambao tunamiliki line zaidi ya moja za mitandao tofauti, hii teknolojia nimeipa maua yake aisee.

Zaman nilikua nahangaika na kubadilisha line kwa kitochi lakin sasa hivi naenjoy,nimesajili line zangu zote kwa eSim,ambapo nikiamua line gan iwe hewan naiswitch on, inakua hewani no kubadilisha line mara pini mara nn, ni teknolojia nzur sana, na kama simu yako inaweza saport 2eSim at the same time wewe ni mkali zaidi.

Hii teknolojia nimeipa maua yake
 
Unaweza kutumia e sim zaid ya 1 wakati mmoja?

Unawezaje kurudia physical card ?
 
yeah unaweza tumia eSim mbili kwa wakat mmoja lakin kama simu yako inasapoy 2 eSim,kama inasapot 1eSim haiwez sapot, kurudia unaweza irudia ni kama tu unrenew physical sim
 
mga
Play store kuna app zinauza internet very cheaper,simu yako kama inasapoti Esim unachotakiwa kuinstall hiyo app itakupa maelekezo na unalipia kwa kwa visa card,master car

Play store kuna app zinauza internet very cheaper,simu yako kama inasapoti Esim unachotakiwa kuinstall hiyo app itakupa maelekezo na unalipia kwa kwa visa card,master card nk
mkuu samahan mfano wa apps hizo
 
mga



mkuu samahan mfano wa apps hizo
20240528_170141.jpg
20240528_170030.jpg

Zipo nyingi tu,kwa msaada unaweza kuzigoogle ukapata kuzijua zaidi,hizo takataka voda na tigo bye bye,hii nape hana uwezo wa kuizuia kama alivyofanya starlink
 
Back
Top Bottom