Teknolojia ya Intaneti yenye Kasi ya 6G yaingia nchini

Teknolojia ya Intaneti yenye Kasi ya 6G yaingia nchini

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema huduma ya Intaneti yenye kasi ya 6G imeingia rasmi nchini Tanzania

1715156115449.png
 
Inategemea na eneo gani kwenye teknolojia maana ni pana sana.
Ni kweli, hata hivyo kama una Mtaji unaweza kuwa-consult Wataalamu kwenye hiyo nyanja wakatoa directives ili kusaidia kulinda Mitaji kabla hujaamua kuwekeza
 
Wakiongelea town wanamaanisha pale posta, masaki, osyerbay na kariakoo
 
Back
Top Bottom