Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Mwanza kwa tajiri wa afutatu zipo πππNaelewa vyema sana.
Nazingua tu sbb ninajua hakuna postpaid ya elf3.
Inasikitisha sana yaani100Mbps ndio kasi ya 6G? Basi Mimi itakua nimeshaitumia sana kabla hata haijaanza kutumika maana nishatembelea sana 200Mbps sasa sijui hio itakua 7G/8G
Usimuulize Wapi? Ni hapahapa Bongo
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema huduma ya Intaneti yenye kasi ya 6G imeingia rasmi nchini Tanzania
ππππππHii habari bila shaka umeitoa channel ya Comedy Central
ππ hazikosekani ehee atuvushie na sieMwanza kwa tajiri wa afutatu zipo πππ
Afu ukute ni voda π€£ wana dhambi haoππππππHiii la afu tatu ukigusa kidogo YouTube unaambiwa umetumia asilimia 75 naunga mkono hoja apo afu tatu ππ πππ bado 5G yenyewe bongo sio nzuri sana
ππππππππππ hazikosekani ehee atuvushie na sie
Wanazingua sana yaani wanashindwa hadi na Burundi kule bando nafuuu sana hapa bongo tuna fanyiwa wizi sanaAfu ukute ni voda π€£ wana dhambi hao
Kuangalia miziki mi3 tu bundle kwishney
Blahblah nyingi nchi hii5G Yenyewe Kampuni Zenu Zina Maeneo Leo Tunaambia 6G Wakati Kampuni Wenzeshi Hazijasema Lolote
Tanzania tunaibiwa basi tu ni vile hamna plan BWanazingua sana yaani wanashindwa hadi na Burundi kule bando nafuuu sana hapa bongo tuna fanyiwa wizi sana
Inasikitisha sana yaani plan b na wao ni kuwaibia tu ndio maana skuizi vijana wanajiongeza sanaTanzania tunaibiwa basi tu ni vile hamna plan B
Tz hakuna cha 4,5,6 g zote geresha tu...speed labda nape ndy anaipataTanzania tunaibiwa basi tu ni vile hamna plan B
Sana Sana TanzaniaBlahblah nyingi nchi hii
Ova
Ila wananchi wengi bado wanamiliki simu zenye uwezo wa 3G na 4G.Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema huduma ya Intaneti yenye kasi ya 6G imeingia rasmi nchini Tanzania