Teknolojia ya Intaneti yenye Kasi ya 6G yaingia nchini

100Mbps ndio kasi ya 6G? Basi Mimi itakua nimeshaitumia sana kabla hata haijaanza kutumika maana nishatembelea sana 200Mbps sasa sijui hio itakua 7G/8G

Usimuulize Wapi? Ni hapahapa Bongo
Inasikitisha sana yaani
 
πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚Hiii la afu tatu ukigusa kidogo YouTube unaambiwa umetumia asilimia 75 naunga mkono hoja apo afu tatu πŸ˜‚πŸ˜ πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜ bado 5G yenyewe bongo sio nzuri sana
Afu ukute ni voda 🀣 wana dhambi hao
Kuangalia miziki mi3 tu bundle kwishney
 
Afu ukute ni voda 🀣 wana dhambi hao
Kuangalia miziki mi3 tu bundle kwishney
Wanazingua sana yaani wanashindwa hadi na Burundi kule bando nafuuu sana hapa bongo tuna fanyiwa wizi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…