Teknolojia ya kisasa ndiyo sababu ya nchi za Ulaya kukusanya mapato kwa ufasaha

Teknolojia ya kisasa ndiyo sababu ya nchi za Ulaya kukusanya mapato kwa ufasaha

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Kuwepo kwa teknolojia za kisasa kumesaidia kuleta mapinduzi makubwa kupindukia katika ukusanyaji wa mapato katika mataifa yao ya Ulaya.

Hawa jamaa zetu wamefanikiwa kupunguza cash transactions kwa 80%, hivyo kusababisha fedha zote kuingia katika mfumo sahihi hivyo kukatwa kiasi kidogo cha kodi stahili ambacho huelekezwa katika control namba moja ya mfuko mkuu.

*Napendekeza Taifa letu lione jinsi gani linaweza kuanzisha mfumo huu hatua kwa hatua kwenye miji mikuu ya nchi kwa kuanzia Dar, Mwanza, Arusha n.k.

Kwa kuanza kueneza swap machine sehemu zote muhimu, mishahara yote pamoja na ya wabunge moja kwa moja kuingizwa kwenye kadi za mfumo wa swap.

Watu wote kujisajili katika mabenki ili kuwawezesha kupata kadi zao kwa ajili ya swap. Kuristrict kiasi cha cash ambacho mtu anaruhusiwa kuwa nacho kinachoruhusiwa kisheria, let say laki 500,000/-

Watanzania wote kuhimizwa kuwa na kadi.

*TAIFA LETU LITAKUSANYA PESA AMBAYO HAIJAWAHI KUFIKIRIKA.

*KWA NINI KUSIWE NA KITU KAMA REA KWA WENZETU WA DAWASCO ILI KAPASENTAGE KAKASAIDIA KUENEZA MAJI VIJIJINI?
 
Nawaza hili mara kwa mara lakini nikikumbuka waafrika sisi tulivyo wabinafsi! Bado sana kufika huku. Na watawala wetu wabinafsi wasingependa mafanikio haya tuyapate leo kwani itakuwa ni mwiba kwa harakati zao za kutufisadi.

Tuna changamoto kubwa ya uongozi sisi waafrika.
 
Tatizo kwa nchi za Afrika sio makusanyo, ni matumizi ya makusanyo hayo!

Ulaya serikali zipo wazi na wapi kodi imetumika na kukwepa kodi Ulaya ni kama laana maana kila mtu atakushangaa, huku kwetu bado tupo gizani.

Magufuli alikusanya pesa nyingi za kodi, lakini angalia matumizi ya baadhi ya kodi hizo, utashangaa. Chato airport , daraja la Busisi!!! Billions of money zimewekwa kusipostahili.
 
Elimu kwanza mkuu kabla ya yote,kutumia ATM kwenyewe mtihani sembuse hiyo kuswap!!!
Yapo mambo ni kuyaanza huku watanzania wakifundishwa taratibu, kwani wengi kwa sasa wanafahamu kuingiza umeme kwenye luku.
 
Mwigulu nchemba tufanyie mapinduzi.
Muache kuumiza vichwa.
 
Kuwepo kwa teknolojia za kisasa kumesaidia kuleta mapinduzi makubwa kupindukia katika ukusanyaji wa mapato katika mataifa yao ya Ulaya.

Hawa jamaa zetu wamefanikiwa kupunguza cash transactions kwa 80%, hivyo kusababisha fedha zote kuingia katika mfumo sahihi hivyo kukatwa kiasi kidogo cha kodi stahili ambacho huelekezwa katika control namba moja ya mfuko mkuu.

*Napendekeza Taifa letu lione jinsi gani linaweza kuanzisha mfumo huu hatua kwa hatua kwenye miji mikuu ya nchi kwa kuanzia Dar, Mwanza, Arusha n.k.

Kwa kuanza kueneza swap machine sehemu zote muhimu, mishahara yote pamoja na ya wabunge moja kwa moja kuingizwa kwenye kadi za mfumo wa swap.

Watu wote kujisajili katika mabenki ili kuwawezesha kupata kadi zao kwa ajili ya swap. Kuristrict kiasi cha cash ambacho mtu anaruhusiwa kuwa nacho kinachoruhusiwa kisheria, let say laki 500,000/-

Watanzania wote kuhimizwa kuwa na kadi.

*TAIFA LETU LITAKUSANYA PESA AMBAYO HAIJAWAHI KUFIKIRIKA.

*KWA NINI KUSIWE NA KITU KAMA REA KWA WENZETU WA DAWASCO ILI KAPASENTAGE KAKASAIDIA KUENEZA MAJI VIJIJINI?
Kuna siku nilikuwa mahali fulani,
Nilisikia kuwa kuna ujio wa kadi ambayo kimsingi itarahisisha katika baadhi ya huduma. Nadhani ujio wa ncard ndio mwanzo wa huduma hizi, msingi ni kuiongezea huduma ninachoona inawezekana kama itakuwa integrated kama ilivyo huduma za Visa huduma zote za malipo zipatikane humo na kwa sababu ni ya kitaifa iwezeshwe additional features ivutie zaidi.
 
Tusipodhibiti matumizi ya hovyo, kuendelea kukusanya kodi haina tofauti na kujaza maji kwenye gunia
 
Tunashukuru mama yetu samiah rais wetu ameliona hili na amewapa changamoto BOT waone ni Jinsi gani wataweza kuanzisha hili hatua kwa hatua.
HONGERA MH.RAIS,NCHI YETU SASA INAKWENDA KWENYE MAPINDUZI AMBAYO HAYAKUWAHI KUWEPO,UTARATIBU HUU NAUOMBEA MUNGU SANA,HATA VIONGOZI WETU HAWATAUMIZA VICHWA KIASI HIKI KWA SABABU,ENDAPO KILA TRANSACTION INAYOFANYIKA KUKAPATIKANA CHOCHOTE KITU,NCHI YETU ITAKUWA TAJIRI,KWA SABABU TAIFA LINA WATU WENGI AMBAO KILA SIKU HUFANYA MANUNUZI MBALIMBALI.
N.b,-hata unga madukani tuununue kwa ku-swap,kwenye madaladala tupande kwa ku-swap.
 
Elimu kwanza mkuu kabla ya yote, kutumia ATM kwenyewe mtihani sembuse hiyo kuswap!
Acha mawazo mgando,Mbona Simu tunatumia? Kipi kigumu kilichopo kwenye ATM? Afrika imekuwa ikikwamishwa mambo mengi sababu tuna watu wengi sana wenye kufikiri kama wewe,Sorry for telling you the truth!
 
Tatizo sio kukusanya ,suala ni je hayo makusanyo yanayokusanywa yanamsaidia mwananchi kivipi ?, mnanenepesha makalio na vitambi Kwa Kodi za wananchi halafu mnawatuksba na dharau za kila namna , kiufupi mnawaona kinyesi
Nchi itakapokuja kuwa na excess amounts
*shuru za magari zitashushwa to 20%of purchasing.
*Huduma zitamsingi zitapatikana kwa 100%
*Elimu zitakuwa upgraded
*Riba za mikopo zitakuwa 5%
And lots lots.
 
Kuwepo kwa teknolojia za kisasa kumesaidia kuleta mapinduzi makubwa kupindukia katika ukusanyaji wa mapato katika mataifa yao ya Ulaya.

Hawa jamaa zetu wamefanikiwa kupunguza cash transactions kwa 80%, hivyo kusababisha fedha zote kuingia katika mfumo sahihi hivyo kukatwa kiasi kidogo cha kodi stahili ambacho huelekezwa katika control namba moja ya mfuko mkuu.

*Napendekeza Taifa letu lione jinsi gani linaweza kuanzisha mfumo huu hatua kwa hatua kwenye miji mikuu ya nchi kwa kuanzia Dar, Mwanza, Arusha n.k.

Kwa kuanza kueneza swap machine sehemu zote muhimu, mishahara yote pamoja na ya wabunge moja kwa moja kuingizwa kwenye kadi za mfumo wa swap.

Watu wote kujisajili katika mabenki ili kuwawezesha kupata kadi zao kwa ajili ya swap. Kuristrict kiasi cha cash ambacho mtu anaruhusiwa kuwa nacho kinachoruhusiwa kisheria, let say laki 500,000/-

Watanzania wote kuhimizwa kuwa na kadi.

*TAIFA LETU LITAKUSANYA PESA AMBAYO HAIJAWAHI KUFIKIRIKA.

*KWA NINI KUSIWE NA KITU KAMA REA KWA WENZETU WA DAWASCO ILI KAPASENTAGE KAKASAIDIA KUENEZA MAJI VIJIJINI?
Haya ndo mawazo ya kizalendo. Sio mawazo ya wachumia tumbo akina crimea
 
Kwa kuanza kueneza swap machine sehemu zote muhimu, mishahara yote pamoja na ya wabunge moja kwa moja kuingizwa kwenye kadi za mfumo wa swap.
Hao ndiyo wanaoturudisha nyuma kutokana na wanachovuna kutowiana na kazi wanayofanya na wingi wao kutoakisi watu wanaowawakilisha, tuanze na kuwapunguza kwanza wamezidi kutunyonya
 
Back
Top Bottom