Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,662
- 6,888
Acha kusema ivo bana wakiweza je hahaha
Wamekwisha shindwa kwani wamesema hawawezi kurudisha mwili, halafu huyo wanayeita mfufuka ni sawa na robot tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kusema ivo bana wakiweza je hahaha
Science za stem cells, robotics, bionic, AI, genomics, anti - ageing zimeshafika mbali.... miaka 50 ijayo tunaweza kukataa tunayosema leoHawataweza
Swala LA uhai analomuumba tu
Hakuna lolote wanataka kufanya movie za zombie ziwe trueWazungu kwel hawalali muda wote wanafikiria vitu vipya