Teknolojia ya kumzuia mwendesha pikipiki asiumie pindi anapopata ajali

Teknolojia ya kumzuia mwendesha pikipiki asiumie pindi anapopata ajali

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
2,204
Reaction score
2,085
Dunia inazidi kusonga mbele kwa kasi. Japo wanadamu wa kiafrika tupo kama tumesimama huku tu kutazama mwendo wa dunia.

Sina shaka kwamba ajali za pikipikiHii ndio zinaongoza kwa kusababisha vifo vingi Afrika. Kuna teknolojia inakuja itaweza kupunguza vifo teknolojia hii ndio itaweza kuzuia mwendesha pikipiki asiumie pindi anapopata ajali.

Unaweza kutazama na usisahau ku subscribe umeletewa bure na wewe subscribe bure.

 
Back
Top Bottom