Zarafi Zekitabu
Member
- Oct 22, 2013
- 38
- 0
Msaada wenu jaman Nmechaguliwa Telecom Engineering hapo Arusha Tech college bt kuna baadh ya wa2 wamenishauli nibadilishe hii course coz cku hz hain dili eti bt nyie mnanishaur vp bt me nliipenda kwasabab ya maneno yao natak nibadilishe nkaxome Civil Engineering,,,,,bt nko njia panda,,,????
Kila taaluma iko poa kutegemea na fursa zilizopo. Kwangu mimi ukiniuliza, nakushauri fanya Civil Engineering!
Jambo moja mdongo wangu( hii ni off record na off topic) punguza sana lugha za facebook. Unafupisha sana maneno bila sababu za msingi, hii siyo hulka ya Jamii Forums!
hadi hapo hujaonyesha enthusiasm katika unachotaka kufanya, in that case nenda tu civil engineering... stick to your guts, kama u r the best in what u do, it doesnt matter... hata muuza nyanya mtaalamu ana kampuni ya kuuza nyanya na anasambaza anakula mamilioni, but wapo wanaofanya the same business ila they cant grow wanaishia kuuza buku kwa siku..
Soma civil engerneering
forgive me kaka i will change basi bt give me your view"xaxa" ndio mdudu gani?.nyinyi watoto wa kizazi cha fb na whatsapp kwanini mnaharibu lugha?.
Msaada wenu jaman Nmechaguliwa Telecom Engineering hapo Arusha Tech college bt kuna baadh ya wa2 wamenishauli nibadilishe hii course coz cku hz hain dili eti bt nyie mnanishaur vp bt me nliipenda kwasabab ya maneno yao natak nibadilishe nkaxome Civil Engineering,,,,,bt nko njia panda,,,????
Xaxa ww achana na hy kaxome xivil engineerng ndio dil...
kasome tu uishie kuwa NOC operator kule helios kama maugo
poa kk lakin nasikia ATC kubadili ni Tabu et had nipitie wizara ya Elimu ndiyo nkabadili
poa kk lakin nasikia ATC kubadili ni Tabu et had nipitie wizara ya Elimu ndiyo nkabadili
Kama unataka kusoma elimu ya juu jifunze kuandika kwanza...
wewe kalime bana
sijakuelewa vizur nkalime kivipi wkt am not interested na kilimo,,,you are going far kaka jaribu kuwa mstaarabu