Zarafi Zekitabu
Member
- Oct 22, 2013
- 38
- 0
Msaada wenu jaman Nmechaguliwa Telecom Engineering hapo Arusha Tech college bt kuna baadh ya wa2 wamenishauli nibadilishe hii course coz cku hz hain dili eti bt nyie mnanishaur vp bt me nliipenda kwasabab ya maneno yao natak nibadilishe nkaxome Civil Engineering,,,,,bt nko njia panda,,,????